2021 AFCON Special Thread

2021 AFCON Special Thread

Morocco though mmedroo lakini I'm so happy, point 7 sio haba.... mnacheza kwa kujiamini, na pira linavutia kweli kweli, hutamani mpira umalizike.

Nasubiri Algeria wangu, ingawa wana asilimia ndogo mno kupita ikiwa atashinda, na Guinea and Sierra Leone wakadroo
Hahahaha mambo ya kuombeana njaa haya Egypt wako vipi sijasikia ukiwaongelea
 
Ligi ya Tanzania ni ya 8 Afrika kwa ubora.
Jifariji tu na takwimu za kuliwaza. Wachezaji hao wenye uafadhali wa kiuchezaji ni raia wazalendo au wachezaji wa kigeni?

Tunapokuwa na mechi za kimataifa na wazalendo wetu huwa tunatoboa au tunabaki kiichwa cha mwendawazimu?

Hiyo kuwa namba 8 kwa ubora wa ligi Afrika ni kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa.

Kubali tu bado uendashaji wetu wa soka unatakiwa ushirikishwaji mkubwa wenye maono mujarabu ili kuwa na matokeo chanya Kimataifa. Vinginevyo itakuwa Yanga, Simba,Azam kila siku miaka nenda rudi bila kuwa na timu bora ya taifa na tishio Afrika na Duniani.
 
Morocco though mmedroo lakini I'm so happy, point 7 sio haba.... mnacheza kwa kujiamini, na pira linavutia kweli kweli, hutamani mpira umalizike.

Nasubiri Algeria wangu, ingawa wana asilimia ndogo mno kupita ikiwa atashinda, na Guinea and Sierra Leone wakadroo
Udini unakusumbua, na haukusaidii chochote.
 
Jifariji tu na takwimu za kuliwaza. Wachezaji hao wenye uafadhali wa kiuchezaji ni raia wazalendo au wachezaji wa kigeni?

Tunapokuwa na mechi za kimataifa na wazalendo wetu huwa tunatoboa au tunabaki kiichwa cha mwendawazimu?

Hiyo kuwa namba 8 kwa ubora wa ligi Afrika ni kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa.

Kubali tu bado uendashaji wetu wa soka unatakiwa ushirikishwaji mkubwa wenye maono mujarabu ili kuwa na matokeo chanya Kimataifa. Vinginevyo itakuwa Yanga, Simba,Azam kila siku miaka nenda rudi bila kuwa na timu bora ya taifa na tishio Afrika na Duniani.
sijapinga popote nimekueleza tuu kwamba ni ya 8 kitakwimu wewe ulisema ni ya mwisho.
 
Super Eagles For The Win
IMG_20220119_205526.jpg
 
Back
Top Bottom