Nimepanda nidhamu yao kweny kukaba hawaruhusu upige afu, wanakuja wanne!!Waarabu ni watu hatari sana wakifika hatua hizi wao hucheza kimbinu na wako siriasi kishenzi.
Ivor cstWanaija wenzangu kukikucha tunakikao
Agenda: tunahamia nchi ip sasa itakayotuvusha hadi final..
Naija kiukweli sikutegemea
Wanaija wenzangu kukikucha tunakikao
Agenda: tunahamia nchi ip sasa itakayotuvusha hadi final..
Ata waarabu Ni waafrika pia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]Daaah waafrika nani atatuokoa
Kwa nini uwaite mbwa hao si waafrika wenzetu 😁 au sababu MKEKA umechanika 🤔Tunisia mbwa wewe
Jana nilisema mapema..hata hivyo kwa Gabon waliniangusha..Naigeria aanakufa
Burkinafaso anakufa..
Umeliwa au sio..ulibeti right?Tunisia mbwa wewe
Jana nilisema mapema..hata hivyo kwa Gabon waliniangusha..
Dah! Nigeria wameniangusha sana!
Ndio mambo ya mpira ankooNaija kiukweli sikutegemea
Noma hata Misri utaona wanavyobadilika..Nigeria still bado ni timu bora kwa mtazamo wangu kuliko zote Afrikon msimu huu ila jana walijiamini mno na walikosa nidhamu ya mchezo mechi kama zile ni za mbinu mno kosa moja tu imekula kwako.Nimepanda nidhamu yao kweny kukaba hawaruhusu upige afu, wanakuja wanne!!
Dah! Nigeria wameniangusha sana!