Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na dalili zote za goli la pili ipoYaani na wakizubaa wanaongezwa la pili aisee.
Anautafuta na tochi. 😅😅😅Leo Salah amekuwa kama Kibu Denis
Pale mbele kuna watu kama 3 ila wanakimbiza mabeki wote
hata akiupata mpira unaporwa tu kirahisiAnautafuta na tochi. 😅😅😅
Hawampi hata nafasi.
Tatizo kuna mtu kama tatu zipo spesho kwa ajili yake yaani kila akishika zimemfuata. 😀😀hata akiupata mpira unaporwa tu kirahisi
Mpaka sasa kwa upande wangu mechi nilizozielewa ni ile ya Ufunguzi Cameroon vs Burkinabe, Algeria vs Siera Leone na hii inayoendelea sasa Nigeria vs Misri.
Imagine ndo tungeingia na kupangiwa hili kundi. 😅 Tungeshaa. 😅Heri hatukufuzu,tungepata aibu kubwa sisi ambao hata hatuhusiki na Taifa stars
wenzetu first 11 yote hadi sub zinacheza ulaya sisi tunawaleta wauza viazi wa vikindi uwanjaniImagine ndo tungeingia na kupangiwa hili kundi. 😅 Tungeshaa. 😅
kina Mwamnyeto wamkabe IhenachoImagine ndo tungeingia na kupangiwa hili kundi. 😅 Tungeshaa. 😅
Mko milioni 60 lakini wambea watupuYaani kweli Sierra Leone Inashiriki Afcon Sisi Tanzania Tunabishana na Mikopo na Kiti cha Uspika [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nchi ina Watu Million 7, Tanzania Tuko zaidi ya Millioni 60 [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hatari sana.wenzetu first 11 yote hadi sub zinacheza ulaya sisi tunawaleta wauza viazi wa vikindi uwanjani