2021 AFCON Special Thread

2021 AFCON Special Thread

Udini unakusumbua, na haukusaidii chochote.

Hivi unajuwa unachokiongea?? Wapi nimeingiza udini? Basi na FORTALEZA anaeshabikia Algeria pia ni mdini kama ndiyo kigezo cha kushabikia waarabu, na GEORGE AMBANGILE Anaeshabikia ALGERIA pia ni mdini kama ndiyo kigezo chako.


Sikiliza kijana, hufai kuwepo humu, it shows wewe ni mbaguzi na ni mdini.


FORTALEZA , Mwangalie sana huyu kijana asije akaharibu uzi wake kwa ubaguzi.
 
Hivi unajuwa unachokiongea?? Wapi nimeingiza udini? Basi na FORTALEZA anaeshabikia Algeria pia ni mdini kama ndiyo kigezo cha kushabikia waarabu, na GEORGE AMBANGILE Anaeshabikia ALGERIA pia ni mdini kama ndiyo kigezo chako.


Sikiliza kijana, hufai kuwepo humu, it shows wewe ni mbaguzi na ni mdini.


FORTALEZA , Mwangalie sana huyu kijana asije akaharibu uzi wake kwa ubaguzi.
Mpotezeee tu hajui kitu kuhusu michezo
 

mzabzab, huyu anajuwa anachokiongea? Kushabikia Algeria povu limemtoka, hajui every body na choice yake, eti nimekuwa mdini kwakuwa nashabikia Morocco na Algeria [emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyu jamaa sijui katokea bushi [emoji1787][emoji1787] chuki mbaya mno.
Kifupi nchi nyingi za Africa ni waislam ndio wengi..
Angalia hao ambao sio Waarabu mfano Senegal, Mali, Sierra Leone, Mauritania, Guinea Bissau na Guinea waislam ni wengi sana. Kwahiyo ukishangilia hizo mojawapo utaonekana mdini?
Jamaa jinga sana.
 
Kifupi nchi nyingi za Africa ni waislam ndio wengi..
Angalia hao ambao sio Waarabu mfano Senegal, Mali, Sierra Leone, Mauritania, Guinea Bissau na Guinea waislam ni wengi sana. Kwahiyo ukishangilia hizo mojawapo utaonekana mdini?
Jamaa jinga sana.

Hahhaaa dah, tumsamehe tu kamanda Hardlife
 
Back
Top Bottom