Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #3,081
Wanashambulia kama nyukiCameroon wanajambo lao ase
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanashambulia kama nyukiCameroon wanajambo lao ase
😂😂Wamisri tunapelekewa moto hatari.
Mourinho styleWaarabu wazee wa bus
Waarab hawa naona wanajarib kutoruhus goli huku wakingojea wenzao wakate pumzi maana sio kwa mbio hiz😂😂😂 yah mkuu
Ndio style yao siku hizi, second half wanaweza wakaja na kasi na mbinu tofautiWaarab hawa naona wanajarib kutoruhus goli huku wakingojea wenzao wakate pumzi maana sio kwa mbio hiz
Hatari sanaWanashambulia kama nyuki
Yaa Mo hawezi cheza peke yake kule mbele kumekuwa butu ,ila waangalie huenda makosa binafsi yakawagharimu kama BurkinabeKipindi cha pili kocha amuweke Mwanangu Trezeguet tukipiga kaunta anampindua mtu kamba
Hamtoboi sheheeKipindi ya pili sisi waarabu tukachukue ushindi wetu hatuendi matuta sisi.