Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
bukinafaso **** tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila leo kulikuwa na dhuluma kwenye goli la 3LIVERPOOL vs AC MILAN 2005 iliisha 3 kwa 3 baada ya Liverpool kufanya comeback na kushinda kwenye matuta.
Leo imejirudia tena.
Bwana ukishapigwa comeback ya namna hiyo akili inachanganyikiwaBurkina Faso atakuwa mshindi wa 4.
Wamekata tamaa sana.
Ndio ishakuwa 😂😂Sema kwa mbinde sana
Yes. Marefa wamejitahidi sana katika hilo.Ila Cameroon wamebebwa sana katika michuano hii ya mwaka huu!!
OfcourseIla leo kulikuwa na dhuluma kwenye goli la 3
Yes. Marefa wamejitahidi sana katika hilo.
Kimahesabu bado ila kiuhalisia tayariAboubakar AFCON 2022 Top Scorer
Senegal Vs EgyptHii ndio inaitwa kupokonywa tonge mdomoni..
Congrats Cameroon
Pole Burkinafaso
Up next.......
Kesho Mimi ni mwarabu kama kawaida.Team Senegal tujuane mapema japo Senegal ina bahati mbaya na fainali
Anagoli ngapi?Vincent Aboubakar AFCON 2021 Top Scorer