2021 ni fireee

2021 ni fireee

Heeeee...kumbe uko deep hivi kwenye soka

Upo timu gani?
Ha ha ha ha ndiyo msasha.
I love yanga, manchester united, real madrid, borrusia dortmund and forza juveee. Ila si kwasababu ya winga machachari hapana[emoji28][emoji28]
 
Ha ha ha ha ndiyo msasha.
I love yanga, manchester united, real madrid, borrusia dortmund and forza juveee. Ila si kwasababu ya winga machachari hapana[emoji28][emoji28]

Yanga mwenzangu[emoji8]
 
Nauzoefu Wangu wote cjawahi cheza hii K2 Daaah
Anayeijua vizuri anitafute
 
Nauzoefu Wangu wote cjawahi cheza hii K2 Daaah
Anayeijua vizuri anitafute
 
Kuna Dada Mbagala aliwahi bet na kushinda Jackpot million 400 ..
Hajawahi cheza kabla na hata hajui alichochagua...

Huku Kaka zake wanacheza kila siku hawashindi
Ndo mchezo wa bahati nasibu ulivo, mie sipend mambo ya betting, sasa siku hiyo kaka akanambia nijaribu km ntapata hasara atarudisha hela yangu,

Wee nkaweka elfu 10, kuja matokeo nimewin elf 45, ila me nlichkua ile elfu 10, ile 35 nlimuchia kaka, nliona nkichukua itakua nime bett ili hali spend hicho kitu
 
Sheria ya kubet usilete mapenzi ya Timu aisee
 
Back
Top Bottom