Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
🤣🤣Hahahaaaa. Nakugawa Pacha. 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Hahahaaaa. Nakugawa Pacha. 🤣🤣
Pole sana mkuu..Hapa nimewwka 5000 nimempa Liverpool halafu nimejilipua nimemuua Valencia nimempa Cadiz mwenye odds 4 ugenini.
Liwalo na liwe
Heeeee...kumbe uko deep hivi kwenye sokaHa ha ha si hii ya southamton na liver? Hata usikate tamaa. Bado dk nyingi sana kwa mpira. Ila soton huwa wazuri sana hasa wakiwa nyumbani
Wewe hujachana mkekaHapa nimewwka 5000 nimempa Liverpool halafu nimejilipua nimemuua Valencia nimempa Cadiz mwenye odds 4 ugenini.
Liwalo na liwe
Ha ha ha ha ndiyo msasha.Heeeee...kumbe uko deep hivi kwenye soka
Upo timu gani?
Awee[emoji847][emoji847]Yanga mwenzangu[emoji8]
Adi Pisi kali zinabet kwel bado mengi tutashuhudia....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani hapo nimeweka 500 kila moja
Pongezi kwa awamu ya TANO[emoji1364]
Yaani kibeti kwako wewe sisi ndio tukufuate utasema sisi ndio waindi wenye kampuni za kubetiNauzoefu Wangu wote cjawahi cheza hii K2 Daaah
Anayeijua vizuri anitafute
Ndo mchezo wa bahati nasibu ulivo, mie sipend mambo ya betting, sasa siku hiyo kaka akanambia nijaribu km ntapata hasara atarudisha hela yangu,Kuna Dada Mbagala aliwahi bet na kushinda Jackpot million 400 ..
Hajawahi cheza kabla na hata hajui alichochagua...
Huku Kaka zake wanacheza kila siku hawashindi
Unaonaje babe! Na mimi nianze ama?😉Mwanamke kubet sijui unaona kama mimi navyoona!
. Uchoyo huo sasaYaani kibeti kwako wewe sisi ndio tukufuate utasema sisi ndio waindi wenye kampuni za kubeti