2021 Toyota GR 86

Gari ya 600M hio sio kitoto aisee
Hapo TRA bado hawajalala nae mbele..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.. dude hilo ni V12. Hata USA ukimiliki unaonekana upo njema. Ni gari zenye class ya dunia. Nikajua umeishusha au chuma ya Bavaria
 
Hapo TRA bado hawajalala nae mbele..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. dude hilo ni V12. Hata USA ukimiliki unaonekana upo njema. Ni gari zenye class ya dunia. Nikajua umeishusha au chuma ya Bavaria
Binafsi napenda zaidi SUV.

Sedan hata ikiwa RR Ghost hainishtui.

Ila ingekuwa G wagon au GLE 63 S AMG, mshipa wa fahamu ungeshtuka.

Ila hizo sedan hapana kwakweli.
 
2021 imekuja na Magari matamu balaa

Huku kwenye subaru kuna Impreza kuna ascent

Yaani ni mfuko wako tu.

Hii chuma ni kale wazee
 
Hivi unajua ilivyo ngumu kumtenganisha Mzee na rav 4 old model?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ .. huyo mzee ana hela za kawaida na hajatembea.. Ingawa ni kweli pia kuna mzee namjua ana hela vibaya ila miaka nenda rudi ana rav 4 ile ile
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ .. huyo mzee ana hela za kawaida na hajatembea.. Ingawa ni kweli pia kuna mzee namjua ana hela vibaya ila miaka nenda rudi ana rav 4 ile ile
mzee ana hela siyo mchezo

mtu anaemiliki mjengo kariakoo na kumwaga kontena za mizigo

miradi ya maelfu ya mifugo

processing industry
sheli
siyo wa kushindwa kuchukua huyo mnyama

anang'ang'ania wizard
πŸ˜•πŸ˜•
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…