2021 Toyota GR 86

2021 Toyota GR 86

Income inequality ni kubwa sana bongo.

Nakuhakikishia wabongo wengi tu wanaweza magari makali sana.

Ila tuna woga na kukosa exposure.

Gari za 200-300M ingekuwa kitu cha kawaida sana bongo.
Uwoga mwingi, uonekane na gari kali ilhali una kiji duka cha hardware. Utafuatiliwa chini chini na wasiojulikana, watake kujua unatoa hela excess wapi. Bora amani!
 
Kweli, hapo yaani hata pisi kali ukiipa lift, hauhitaji kurusha ndoano, mnyama ushafanya kazi yake kitambo tu 😂 😂 😂
Ndio maana hupati kumbe 😂😂😂 (joke).. kwa mawazo hayo . Anaona ukizipata utawapiga sanaaaaa...uwe na kama hiyo Maybach.. sio utatombe.aa kabisaaa videmu vyetu
 
Wafanya biashara wanapesa. Mie nilipata kazi sehemu ku supply power generator kadhaaa kama dalali mtu kati Technical consultant.. yule mwamba alie nipa hiyo order ana mawe amenanyua ghorofa tano kwa mpigo na kila moja ukiangalia zile tathimini zake zina zaidi ya thamani ya 7 billion.. kwa kila jengo.. lakini mwamba kanyanyua zote kwa mpigo alafu bado jank tu.. hapo mie tu wakala kwa kila gen set moja ila kuwa ina cost zaidi ya 222 million na zilikuwa tano..
Wambie watupe deal hata moja site huko
 
Tesla ipo EA pia. Mhindi kaliingiza KE toka UK.
Model X 75 D... Mnyama ndo huyo! Fully auto

Screenshot_20210413_154144.jpg


Screenshot_20210413_153657.jpg
 
Back
Top Bottom