2021 Toyota GR 86

2021 Toyota GR 86

mzee ana hela siyo mchezo

mtu anaemiliki mjengo kariakoo na kumwaga kontena za mizigo

miradi ya maelfu ya mifugo

processing industry
sheli
siyo wa kushindwa kuchukua huyo mnyama

anang'ang'ania wizard
😕😕
Wafanya biashara wa K.koo wana siri zao. wengine wanatumika pesa sio zao, na wapo ambao pesa zao. ndio hao wenye ndiga za heshima Nimekuwa famiLia kidogo na wafanya biashara wa huko japo sio.wote.. ila.wengine ni chawa
 
Wafanya biashara wa K.koo wana siri zao. wengine wanatumika pesa sio zao, na wapo ambao pesa zao. ndio hao wenye ndiga za heshima Nimekuwa famiLia kidogo na wafanya biashara wa huko japo sio.wote.. ila.wengine ni chawa
namzungumzia mtu ninaemfahamu sehemu ya familia

yeye ujinga wake ni kuwekeza pesa kwenye miradi ya watu.,, ila sijui gari sijui starehe hayumo kabisa
 
namzungumzia mtu ninaemfahamu sehemu ya familia

yeye ujinga wake ni kuwekeza pesa kwenye miradi ya watu.,, ila sijui gari sijui starehe hayumo kabisa
dah! Huyo kweli ana mambo ya kijima 😀😀😀
 
Pia, ukiweza toa 600M ya kununua gari hushindwi toa 600 ingine kulilipia kodi.
Hahaha hio bei yake ni $202,000 ina maana kwa rate ya leo ya 2319 kwa kila dola moja ni sawa na Tshs.468,438,000 hio ni hela ya kuliagiza tu!

Fanya nusu ya hio pesa unawapa TRA yani Tshs. 234,219,000 kwahio thamani halisi ya hio gari huenda ikawa ni Tshs. 702,657,000.

Hata serikali haitembelei gari za bei hio 😹😹😹 raisi mwenyewe gari za kufikia hio hela zinaweza kuwa 2 tu! Ukifuatilia deep down hio gari lazma itakuwa ya fisadi flani ambaye kanyofoa hela ndefu mahali! Imagine umekung’uta 6B za jamhuri ya mabwege then boss kafariki hamna kusumbuana tena!
 
Hahaha hio bei yake ni $202,000 ina maana kwa rate ya leo ya 2319 kwa kila dola moja ni sawa na Tshs.468,438,000 hio ni hela ya kuliagiza tu!

Fanya nusu ya hio pesa unawapa TRA yani Tshs. 234,219,000 kwahio thamani halisi ya hio gari huenda ikawa ni Tshs. 702,657,000.

Hata serikali haitembelei gari za bei hio 😹😹😹 raisi mwenyewe gari za kufikia hio hela zinaweza kuwa 2 tu! Ukifuatilia deep down hio gari lazma itakuwa ya fisadi flani ambaye kanyofoa hela ndefu mahali! Imagine umekung’uta 6B za jamhuri ya mabwege then boss kafariki hamna kusumbuana tena!
Wafanya biashara wanapesa. Mie nilipata kazi sehemu ku supply power generator kadhaaa kama dalali mtu kati Technical consultant.. yule mwamba alie nipa hiyo order ana mawe amenanyua ghorofa tano kwa mpigo na kila moja ukiangalia zile tathimini zake zina zaidi ya thamani ya 7 billion.. kwa kila jengo.. lakini mwamba kanyanyua zote kwa mpigo alafu bado jank tu.. hapo mie tu wakala kwa kila gen set moja ila kuwa ina cost zaidi ya 222 million na zilikuwa tano..
 
Wafanya biashara wanapesa. Mie nilipata kazi sehemu ku supply power generator kadhaaa kama dalali mtu kati Technical consultant.. yule mwamba alie nipa hiyo order ana mawe amenanyua ghorofa tano kwa mpigo na kila moja ukiangalia zile tathimini zake zina zaidi ya thamani ya 7 billion.. kwa kila jengo.. lakini mwamba kanyanyua zote kwa mpigo alafu bado jank tu.. hapo mie tu wakala kwa kila gen set moja ila kuwa ina cost zaidi ya 222 million na zilikuwa tano..
Hahahahah watu wana Mawe kmmmk sio masihara! Mtu ananyanyua floor 10/10 kwa mpigo aisee! Hao wafanyabiashara unakuta mtu hela aliikuta anaiendeleza ni wale wa upande wa viwanda au construction!
 
Hahahahah watu wana Mawe kmmmk sio masihara! Mtu ananyanyua floor 10/10 kwa mpigo aisee! Hao wafanyabiashara unakuta mtu hela aliikuta anaiendeleza ni wale wa upande wa viwanda au construction!
Contruction kutajiri rahisi sana, mie nina washkaji zangu wakandarasi V8 au hizi Range River Autobio.. kwao issue za kawaida sanaa.. kasoro mie tu ndio sisomeki kmmmk.. 😂😂😂.. Wengine watu madini , na wanao fanya supply ya madude umeme, ujenzi IT.. kmmae hao watu huwa ni ghafla binvuu huwa maisha yao hubadirika deal nono zinapo ingia kwenye 18 zao.. na unakuta wanaanza from zero
 
Kenya mpo juu maana pia mna Bugati.. huku Tziiii TRA wanauaaa
Hata Kenya KRA wanachinja haswa, wenye kuleta haya magari sio watu hivi hivi, wana hela ka njugu kummmmk, yaani hata kulipa KRA sio shida. Wao wanajua wanakuja vimba nyumbani sababu wako unique, hutopata kwingine gari analonunua. Wacha nisake hela mkuu! 🤣 🤣 🤣
 
Hata Kenya KRA wanachinja haswa, wenye kuleta haya magari sio watu hivi hivi, wana hela ka njugu kummmmk, yaani hata kulipa KRA sio shida. Wao wanajua wanakuja vimba nyumbani sababu wako unique, hutopata kwingine gari analonunua. Wacha nisake hela mkuu! 🤣 🤣 🤣
kummmmmk sasa na sie tufanyaje tuwe vitu vikali na unique hata kitaani tu 😂😂😂.. kuwa unique kwa nchi nzima kazi..
 
Hahaha hio bei yake ni $202,000 ina maana kwa rate ya leo ya 2319 kwa kila dola moja ni sawa na Tshs.468,438,000 hio ni hela ya kuliagiza tu!

Fanya nusu ya hio pesa unawapa TRA yani Tshs. 234,219,000 kwahio thamani halisi ya hio gari huenda ikawa ni Tshs. 702,657,000.

Hata serikali haitembelei gari za bei hio [emoji81][emoji81][emoji81] raisi mwenyewe gari za kufikia hio hela zinaweza kuwa 2 tu! Ukifuatilia deep down hio gari lazma itakuwa ya fisadi flani ambaye kanyofoa hela ndefu mahali! Imagine umekung’uta 6B za jamhuri ya mabwege then boss kafariki hamna kusumbuana tena!
Sio lazima fisadi.

700M kuna wabongo wengi wanaweza kuafford kuwa nazo.

Wafanyabiashara wengi hapo kkoo wanalaza faida ya 700M kwa mwaka.
 
Back
Top Bottom