Uoga wa spare, ufundi n.k.Uwoga mwingi, uonekane na gari kali ilhali una kiji duka cha hardware. Utafuatiliwa chini chini na wasiojulikana, watake kujua unatoa hela excess wapi. Bora amani!
atapita hadi na macousin wake bila kujua .... 😀 😀Ndio maana hupati kumbe 😂😂😂 (joke).. kwa mawazo hayo . Anaona ukizipata utawapiga sanaaaaa...uwe na kama hiyo Maybach.. sio utatombe.aa kabisaaa videmu vyetu
Hapo corona itakuwa imenifikia kwenye ubongo! 🤣 🤣 🤣atapita hadi na macousin wake bila kujua .... 😀 😀
kwaiyo ndo umeamua kuja kunisema humunamzungumzia mtu ninaemfahamu sehemu ya familia
yeye ujinga wake ni kuwekeza pesa kwenye miradi ya watu.,, ila sijui gari sijui starehe hayumo kabisa
Mshua atajua wataka mpiga changa la macho😊Nyie watoto zao, hamuwafundishi namna ya kuzitumia. Hamuwapi naujanja.. manishi kuwashauri wanunue ma V8
Ni brand ganiGari ya 600M hio sio kitoto aisee
Bongo watu wanapesa tatizo exposure na kuanza kuhojiwa hela umepata wapiWabongo wabishi sana Mkuu 2020 niliona tangazo moja nikiwa Pretoria najiandaa kutoka kuja Tanzania Mercedes walikua wanatoa maybash moja hatari sana sikumbuki mwezi ile nimekaa nikaanza safari nipo Iringa pale naiona jamaa anaweka mafuta daah nilimpa salute mno kwa kweli...
Upo sahihi magari hawastuki na wanayajua kweli Arusha kuna mbishi anatumia Porsche Cayyene miaka nenda rudi anabadili matoleo tuu..Bongo watu wanapesa tatizo exposure na kuanza kuhojiwa hela umepata wapi
Hii machine kweli mzeeSpecs:
2.4litre naturally aspirated engine...
kwaiyo ndo umeamua kuja kunisema humu
Wabongo wabishi sana Mkuu 2020 niliona tangazo moja nikiwa Pretoria najiandaa kutoka kuja Tanzania Mercedes walikua wanatoa maybash moja hatari sana sikumbuki mwezi ile nimekaa nikaanza safari nipo Iringa pale naiona jamaa anaweka mafuta daah nilimpa salute mno kwa kweli...
Ni wabishi kuliko maelezo na Kodi ya magari ipo juu mno ila watu hawataki kujua...aisee kuna hii Impreza ya 2020/21 juzi nimeiona inakatisha mtaani
Kuna wabongo wabishi sana
Hizo Porsche Cayenne wamama wa kihindi wanazipenda sana huku kwetuUpo sahihi magari hawastuki na wanayajua kweli Arusha kuna mbishi anatumia Porsche Cayyene miaka nenda rudi anabadili matoleo tuu..
Sio wanazipenda ni kuwa wana hela za kununua na kulipa kodi yake kubwa unadhani sisi tunazipenda passo Mkuu jaribu kucheki kikokoteo cha TRA ya 2015 uone kodi yake...Hizo Porsche Cayenne wamama wa kihindi wanazipenda sana huku kwetu
Ndivyo ilivyo! 🤣Sio wanazipenda ni kuwa wana hela za kununua na kulipa kodi yake kubwa unadhani sisi tunazipenda passo Mkuu jaribu kucheki kikokoteo cha TRA ya 2015 uone kodi yake...