Na hajafungwa hata mojaTangu msimu huu uanze Simba ameshacheza mechi tatu za kimashindano (vs Power dinamo na Al Ahly). Kati ya hizo, Ametoa sare zote na ameruhusu magori ktk kila mechi. Hii maana yake ni nini? Wajuvi niambieni.
Tafsiri yake inawaumiza Mioyo Wanasimba... Kimataifa hakuna Tatu Malogo....Tangu msimu huu uanze Simba ameshacheza mechi tatu za kimashindano (vs Power dinamo na Al Ahly). Kati ya hizo, Ametoa sare zote na ameruhusu magori ktk kila mechi. Hii maana yake ni nini? Wajuvi niambieni.
Ni mwepesi ndio ila haimzuii kufika malengo yake.Maana yake ni kuwa ni mwepesi kuruhusu kufungwa
hapa imezungumziwa michuano ya kimataifa, Ihefu katokea wapi?Ni mwepesi ndio ila haimzuii kufika malengo yake.
Ihefu ilikuwaje akukande wakati wewe timu yako hairuhusu kufungwa?
Ni kweliNa hajafungwa hata moja
Hii ulisahau kuandika
Nje ya madaWe ni Uto Unajulikana....!
Nakupa Ka Home work Kadogo tu Leo..
Taja Kirefu cha AFL...! na hautoboi hapo,wenye akili ni Wa2 tu huko...
Nje ya madaNi mwepesi ndio ila haimzuii kufika malengo yake.
Ihefu ilikuwaje akukande wakati wewe timu yako hairuhusu kufungwa?
Ila anapumulia mashineNa hajafungwa hata moja
Hii ulisahau kuandika
Kwasababu inakukumbusha maumivu?Nje ya mada
InawezekanaWana timu mbovu
Bado nje ya madaKwasababu inakukumbusha maumivu?
Bado upo kwenye kujitafuta kujua wapi Ihefu alikuzidi, at the same time unakutana na Al Ahly
Tutakuwepo siku hiyo
Unachangia mada ipiSoma hapa[emoji116] utaelewa.
View attachment 2787694
HahahaaaaIla anapumulia mashine
Timu mbovu mwaka huu imekukanda mara ngapi na Mwiko wako nyuma?Wana timu mbovu