- Thread starter
- #41
SawaNdani ya mada ni MWIKO nyuma tangu 1935?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaNdani ya mada ni MWIKO nyuma tangu 1935?
SawaNgao ya Hisani pia hakushinda hata mechi moja, ila akaibeba! TFF na CAF wanaipendelea Simba 😀 😀 😀
MmmmmhNiwaite ihefu waje wausokomeze tena ule MWIKO huko nyuma?
Umekomaaaa daaaahDaima Mwiko nyuna unakutesa sana tangu 1935 uchomoe sana au nimuite kibu?
Baada ya Ihefu, point nyingine utakazododosha ni dhidi ya Simba Sc, sikuoni ukishinda mbele ya hii Simba Sc mbovu.Wana timu mbovu
OkYa wanaume hayakuhusu.
Ngoja utaonaBaada ya Ihefu, point nyingine utakazododosha ni dhidi ya Simba Sc, sikuoni ukishinda mbele ya hii Simba Sc mbovu.
Kazia hapa hapa 😂😂😂Mada hii hapa👇
View attachment 2787695
Yanga hawezi kuifunga Simba Sc msimu huu.Ngoja utaona
Sawa ngoja nisevu hii iwe kama ushahidiYanga hawezi kuifunga Simba Sc msimu huu.
Inawanyima raha hii😅😂Kazia hapa hapa 😂😂😂
Yeye akichuchumaa mchape na picha akisimama mchape na picha😂😂😂Inawanyima raha hii😅😂
Mchapo tu kwakwenda mbele😂😅Yeye akichuchumaa mchape na picha akisimama mchape na picha😂😂😂
Mbumbumbu pungunguza povu, jibu hoja kabla ya kumshambulia mleta hoja.We ni Uto Unajulikana....!
Nakupa Ka Home work Kadogo tu Leo..
Taja Kirefu cha AFL...! na hautoboi hapo,wenye akili ni Wa2 tu huko...
kUna hoja au vioja? Au ni huo mwiko huko nyuma unakusumbuaKwa ninavo wafahamu mashabiki wa hii timu hautapata majibu ya hoja yako
Mzee wangu unapenda Ukuu sana.NILIWAAMBIA SIMBA WAJIANDAE KISAIKOLOJIA.
Dirisha la Usajili CAF na TFF limefungwa RASMI niliyoshauri yafanyiwe kazi Simba HAYAJAFANYIKA, Wanasimba mjiandae kisaikolojia
Hellow Wana JF. Dirisha la Usajili la shirikisho la Soka Tanzania TFF na Lile la CAF limefungwa RASMI Jana 31AUGUST 2023. Yale yote niliyoyaomba na Kupendekeza yafanyike ndani ya wekundu WA Msimbazi hayajafanyiwa kazi kwa asilimia 90% Hii imeniuma mno kama shabiki mwanachama na Mfanyakazi wa...www.jamiiforums.com
Mpaka sasa sijapataKwa ninavo wafahamu mashabiki wa hii timu hautapata majibu ya hoja yako
Jamaa kapata uungwaji mkonoKazia hapa hapa [emoji23][emoji23][emoji23]