92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,273
- 16,705
Iko mamboTutawaprove wrong this time
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko mamboTutawaprove wrong this time
HahahaaaaTatu MALOGO FC [emoji28][emoji28]
Waza ihefu tu .....Akati chama lako linapumulia mashineIhefu alifungwaje wa kibungo
Mashine ya belouzdad au al ahly?Waza ihefu tu .....Akati chama lako linapumulia mashine
Nayo ni mechi ya kimataifa?Ihefu alifungwaje wa kibungo
Timu yako mpaka sasa imeshinda mechi ngapi za kimataifa ukitoa ile ya 3 mzukaNayo ni mechi ya kimataifa?
Nafasi niliyopo mm.....ww haupoTimu yako mpaka sasa imeshinda mechi ngapi za kimataifa ukitoa ile ya 3 mzuka
Mtombwangile umebadili jinaIhefu alifungwaje wa kibungo
Mkandaji nimebadilishiwa jina na mods na nyuzi zangu za kuomba warudishe jina langu pendwa la KIBU DEE MTOMBANGILE pia wamezifuta kuhofia hali ya diarra inaweza kuwa mbaya zaidiMtombwangile umebadili jina
MmmmhTimu yako mpaka sasa imeshinda mechi ngapi za kimataifa ukitoa ile ya 3 mzuka
DaaaahMkandaji nimebadilishiwa jina na mods na nyuzi zangu za kuomba warudishe jina langu pendwa la KIBU DEE MTOMBANGILE pia wamezifuta kuhofia hali ya diarra inaweza kuwa mbaya zaidi
Ukiruusu bao halafu mechi ikaisha kwa sare maana yake ni kwamba na wewe ulipata bao. Kwa lugha nyingine, Simba imepata bao katika kila mechi hizo. Hii maana yake ni nini? Wajuvi niambieni.Tangu msimu huu uanze Simba ameshacheza mechi tatu za kimataifa (vs Power dinamo na Al Ahly). Kati ya hizo, Ametoa sare zote na ameruhusu magoli katika kila mechi. Hii maana yake ni nini? Wajuvi niambieni.