2023/24 Simba hajashinda hata moja

2023/24 Simba hajashinda hata moja

Nje ya mada au mmeamua vinginevyo?
achana na iyo,,chukua hii👇

images (3).jpeg
 
Tangu msimu huu uanze Simba ameshacheza mechi tatu za kimataifa (vs Power dinamo na Al Ahly). Kati ya hizo, Ametoa sare zote na ameruhusu magoli katika kila mechi. Hii maana yake ni nini? Wajuvi niambieni.
Li timu bovu kabisa
 
Tangu msimu huu uanze Simba ameshacheza mechi tatu za kimataifa (vs Power dinamo na Al Ahly). Kati ya hizo, Ametoa sare zote na ameruhusu magoli katika kila mechi. Hii maana yake ni nini? Wajuvi niambieni.
Maana yake mpira una dunda
 
Tangu msimu huu uanze Simba ameshacheza mechi tatu za kimataifa (vs Power dinamo na Al Ahly). Kati ya hizo, Ametoa sare zote na ameruhusu magoli katika kila mechi. Hii maana yake ni nini? Wajuvi niambieni.
Mwamedi janja janja sana eti kawawekea bil.1 wakishinda, kaona mlima mrefu isiwe tabu...
 
Back
Top Bottom