- Thread starter
- #61
Nje ya mada au mmeamua vinginevyo?Inawanyima raha hii[emoji28][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nje ya mada au mmeamua vinginevyo?Inawanyima raha hii[emoji28][emoji23]
Anashangaza sanaMbumbumbu pungunguza povu, jibu hoja kabla ya kumshambulia mleta hoja.
Ni swali zuri na la msingi kwa wadau kujiiza.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Sasa jiulize ihefu kafanya yake huko kimataifa si mtatumia miaka 25 mingine😂😂hapa imezungumziwa michuano ya kimataifa, Ihefu katokea wapi?
Kwann unaiacha mada unaandika yako?kUna hoja au vioja? Au ni huo mwiko huko nyuma unakusumbua
HahahahaaaSasa jiulize ihefu kafanya yake huko kimataifa si mtatumia miaka 25 mingine[emoji23][emoji23]
Natania tu japo simba wanatembeza sana bahasha
Tutawaprove wrong this timeSasa jiulize ihefu kafanya yake huko kimataifa si mtatumia miaka 25 mingine😂😂
Natania tu japo simba wanatembeza sana bahasha
Mada gani sasaKwann unaiacha mada unaandika yako?
Li timu bovu kabisaTangu msimu huu uanze Simba ameshacheza mechi tatu za kimataifa (vs Power dinamo na Al Ahly). Kati ya hizo, Ametoa sare zote na ameruhusu magoli katika kila mechi. Hii maana yake ni nini? Wajuvi niambieni.
Nisamehe tu. Sikujua napoteza muda
Kweli?Li timu bovu kabisa
Mbona hata nyie Azam waliwafunga? Kufungwa ni kufungwa tu.Ni mwepesi ndio ila haimzuii kufika malengo yake.
Ihefu ilikuwaje akukande wakati wewe timu yako hairuhusu kufungwa?
Maana yake mpira una dundaTangu msimu huu uanze Simba ameshacheza mechi tatu za kimataifa (vs Power dinamo na Al Ahly). Kati ya hizo, Ametoa sare zote na ameruhusu magoli katika kila mechi. Hii maana yake ni nini? Wajuvi niambieni.
Mwamedi janja janja sana eti kawawekea bil.1 wakishinda, kaona mlima mrefu isiwe tabu...Tangu msimu huu uanze Simba ameshacheza mechi tatu za kimataifa (vs Power dinamo na Al Ahly). Kati ya hizo, Ametoa sare zote na ameruhusu magoli katika kila mechi. Hii maana yake ni nini? Wajuvi niambieni.
ah timu haikuhusu nyuzi za niniJamaa kapata uungwaji mkono
Ahaaa?maana yake mpira una dunda
MmmmhWe
ah timu haikuhusu nyuzi za nini