2023 inapoisha, unaiacha kumbukumbu ipi ya wema kwa watu? ili kwa watu ili ukumbukwe kwa wema?

2023 inapoisha, unaiacha kumbukumbu ipi ya wema kwa watu? ili kwa watu ili ukumbukwe kwa wema?

Namshukuru MUNGU ameniwezesha kuwasaidia watu katika magonjwa na misiba ambapo niliweza kusaidia misiba miwili kijijini kwetu kikamilifu kwa kuchangia gharama za mochwari,usafiri ,mazishi na chakula.

Pia niliweza kusaidia matibabu ya wagonjwa kadhaa wa kijijini kwetu kwa kuchangia matibabu katika dawa ,usafiri na chakula kwa wagonjwa.

Na bila kusahau wanafunzi mbalimbali hasa wa shule za msingi na sekondari waliokuwa wanaanza masomo yao kwa kuchangia nauli, sare na madaftari.

Namshukuru sana MUNGU wetu kunipa ujasiri wa kutochangia sherehe mbalimbali kama vile sendoff,harusi,kipaimala,birthday,n.k.

Nimefarijika sana kwa hili na Mungu atubariki wote wenye moyo kama huu kiachana na masheikh,wachungaji,maaskofu,nk wanaofuga matumbo yao kwa kiwanyonya maskini ambao hawawachangii katika matatizo yao.
 
Namshukuru MUNGU ameniwezesha kuwasaidia watu katika magonjwa na misiba ambapo niliweza kusaidia misiba miwili kijijini kwetu kikamilifu kwa kuchangia gharama za mochwari,usafiri ,mazishi na chakula.

Pia niliweza kusaidia matibabu ya wagonjwa kadhaa wa kijijini kwetu kwa kuchangia matibabu katika dawa ,usafiri na chakula kwa wagonjwa.

Na bila kusahau wanafunzi mbalimbali hasa wa shule za msingi na sekondari waliokuwa wanaanza masomo yao kwa kuchangia nauli, sare na madaftari.

Namshukuru sana MUNGU wetu kunipa ujasiri wa kutochangia sherehe mbalimbali kama vile sendoff,harusi,kipaimala,birthday,n.k.

Nimefarijika sana kwa hili na Mungu atubariki wote wenye moyo kama huu kiachana na masheikh,wachungaji,maaskofu,nk wanaofuga matumbo yao kwa kiwanyonya maskini ambao hawawachangii katika matatizo yao.
This is inspiring chief. Nimepata idea ya kufanya toka katika maelezo yako.
UJue kuna vitu vingine ni non costful kabisaa na viko ndani ya uwezo wetu watu wengi but we overlook them
Like ukaamua ku support hata wanafunzi wa 5 tu wanao soma shule za serikal ambao their families cant afford to support them, unapungukiwa nini?

Ujue ukienda humu mashulen, kuna watoto their families cant afford even silple stuffs like shoes, madaftar even uniforms...

U really did a gud thing..thanks
 
This is inspiring chief. Nimepata idea ya kufanya toka katika maelezo yako.
UJue kuna vitu vingine ni non costful kabisaa na viko ndani ya uwezo wetu watu wengi but we overlook them
Like ukaamua ku support hata wanafunzi wa 5 tu wanao soma shule za serikal ambao their families cant afford to support them, unapungukiwa nini?

Ujue ukienda humu mashulen, kuna watoto their families cant afford even silple stuffs like shoes, madaftar even uniforms...

U really did a gud thing..thanks

Niliamua hivyo baada ya kupata shida sana utotoni na kusoma kwa kufanya vibarua kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha 4 huku nikiahirisha mwaka wa masomo mara kwa mara baadae alinisaidia MH.KIPINGU pale Makongo Sekondari nikasoma bure baada ya kwenda kumuomba, hivyo nilivuta taswira ni kwa jinsi gani watu wa makundi haya wanapata shida na niwasaidie kwa nilichonacho na kadiri ya uwezo wangu.

Kwasasa naona ni kwa jinsi gani MUNGU ananijibu kwa wangu huu,siamini na siabudu ktk dini yoyote ile zaidi ya kuabudu na kuwaomba WAASISI WANGU ambao ni mababu na mabibi zangu kufikisha maombi yangu kwa MUNGU baba.
 
Niliamua hivyo baada ya kupata shida sana utotoni na kusoma kwa kufanya vibarua kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha huku nikiahirisha mwaka wa masomo mara kwa mara hivyo nilivuta taswira ni kwa jinsi gani watu wa makundu haya wanapata shida.
Yah sure.. the reason really makes a lot of sense
 
Back
Top Bottom