2024 usimfanyie mwanamke financial favour yoyote

Wewe waambie tu dunia ipo kwenye ubepari sasa, kila mtu ale kwa jasho lake. Yaani watoke ndani watafute shughuli za kufanya tena shughuli halali. Hakuna free lunch kwa dunia ya kibepari, huyo Me wa kukupa tu kila siku yuko wapi, kwa uchumi upi, they MUST work.

Ila hiyo ya kuwapa mimba naipinga, usizae na kila unayemvua, kumbuka hiyo ni damu yako. Yaani hakikisha unayempa mimba ana vigezo vya kuwa mama wa watoto wako.
 
Maisha yapo hivi usimuumize MTU na usikubali MTU akuumize ikiwa utaona there's a such kind of a woman anahitaji kukuchota akili na PESA achana naye mapema usimpe tatizo na wewe usikubali akupe tatizo .


Na mwisho Kama kijana embrace the cleanest lifestyle/ kumbatia maisha Sana ya usafi hautojuta.

Personally Mimi huwa sitafuti mwanamke wa kuwa naye katika mahusiano ila huwa naishi mtindo wangu wa maisha ambao upo positive Kwa kila kitu. Ikiwa mwanamke atayapenda maisha yangu atakalibishwa na kupewa sheria zote.

Sex is overrated
 
[emoji3][emoji3][emoji3] noma sana. Kwamba fanya muamala utajua jina lake. Dah.! kausha damu wanakaba mpaka penati [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kausha damu ni hatari sana ila kengele ikalia kichwani ikiniambia hakuna boya hapa usikubali, kidogo nikakumbuka maneno ya dronedrake tunza kibunda chako.
 
Ungekuwa blaza ungehit na kurun sana 😂
 
Hizo ndio nyodo zenyewe sio maringo alafu hapo hata hajatongozwa.
Hizo si nyodo Wala maringo mm naita ni roho mbaya, kwani kumjibu kistaarabu mtu aliekutongoza halafu humtaki inagharimu tsh ngapi, saa ingine mdada anakutukana bila sababu kisa umemtongoza tu kistaarabu, mpaka unajiuliza kwa tabia hii huyu mdada ataolewa au atadumu kwenye ndoa kweli Half american
 
Huyu huyu utakuta kwa mwanaume mwingine anakua mtiifu ushirikiano anatoa vizuri. Kuna wadada kama hujamvutia yaan unaweza dhania mna ugomvi hayo majibu atakayokupa. [emoji23][emoji23][emoji23] Pole
 
Huyu huyu utakuta kwa mwanaume mwingine anakua mtiifu ushirikiano anatoa vizuri. Kuna wadada kama hujamvutia yaan unaweza dhania mna ugomvi hayo majibu atakayokupa. [emoji23][emoji23][emoji23] Pole
Kumkataa kistaarabu mwanaume aliekutongoza kistaarabu, inagharimu tsh ngapi? Exception ni pale ambao usumbufu wangu umepitiliza, hapo unaeza nitukana, sasa mara ya kwanza tu kwa vile sijakuvutia na nimekutongoza, unanirushia mitusi hiyoo, hata kama huyo mdada ni mtiifu kwa mwanaume mwingine, huo utiifu utakua wa muda tu, hisia zikipungua, baadae tabia zake halisi zitaanza jionesha, kwa tabia hizo najiuliza kweli hata akiolewa atadumu kwenye ndoa Kelsea
 
Ukishajua watu tunatofautiana tabia wala hutashangaa. Mtu wa hivyo unaachana nae tu unafanya mambo mengine.
 
Mbususu yenyewe walisgaharibu! Ulipie 1 m?
 
Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…