Huu Sasa ni uchawi😃😃😂Mimi nakausha mpaka maji 😁😁
😁😁😁Huu Sasa ni uchawi😃😃😂
Uko poa lakini mpendwa!
Niko poa za wewe wa ubani😍Uko poa lakini mpendwa!
Niko poa Udi wangu😍😍.Niko poa za wewe wa ubani😍
Pilau wapi 🤷🏼♂️Niko poa Udi wangu😍😍.
Wewe huwa unaomba shilingi ngapi ambayo unahisi hatuna, zisingekuwepo hoja ya kuombwa ingetoka wapi sasa.Hela zenyewe za kutoa mnazo au mnapeana moyo tu...mxxiiew
Mimi siombi, kwanza najua kuitafuta yangu binafsi kwahiyo ninazo.....akinipa ni kama nyongeza tu kwanza siombagi ananipa kwa hiariWewe huwa unaomba shilingi ngapi ambayo unahisi hatuna, zisingekuwepo hoja ya kuombwa ingetoka wapi sasa.
Katika watu pesa zao zina macho ni wanawake, kwanza ni wabahili halafu wana hesabu kali sana, mtu ana pesa mkononi hivi sasa imepangiwa mipango miezi sita ijayo. Halafu kutoa pesa zao huwa inawauma sana. Lakini tuishi nao. Mwanamke anaweza kuwa na milioni anatamani elfu tano yako.
Nilishawahi kumpiga chini demu mmoja hivi kausha damu. Anakuja geto anakaa mpaka siku 3 achangii chochote. Anakula bure, anatumia umeme bure, maji bure, shughuli ya kitandani kwa 98% naifanya mimi cha kushangaza anataka niwe nampa hela wakati kimsingi yeye ndie anatakiwa kunipa hela mimi kwa sababu ndie anaenufaika zaidi. Nikampiga chini.
Ila wanawake wengine ni kasheshe tupu, majuzi nimechukua namba kwa dada mmoja, 1st time naongea nae baada ya salam nilimuuliza jina akanijibu bado mama yake hajampa jina nikaishiwa pozi nikamuacha aende. Hiyo juzi nikamuungia akatoa namba nikamuuliza jina akaniambia tuma 30K kwenye namba hiyo utaona jina na huku nitacomfirm lakwako vinginevyo fata mambo yako, nikataka kuongeza neno hata kabla sijalitamka nikaambiwa eeh babu ee ndio hivyo huna hela ya kutuma huna shughuli [emoji28]. Kwa muonekano n mpole ila akiongea ndio wale wale.
Kwa mama mkwe-🤒Pilau wapi 🤷🏼♂️
Hela zenyewe za kutoa mnazo au mnapeana moyo tu...mxxiiew
Kausha damu mwingine huyu hapaNilichogundua huu uzi umejaa wanaume wanaonuka umaskini, Siku zote maskini wanakuaga very bitter, narcissistic, sadist wakizidisha wanakua wachawi mfyuuu. Umaskini mbaya sanaa.
Nilishawahi kumpiga chini demu mmoja hivi kausha damu. Anakuja geto anakaa mpaka siku 3 achangii chochote. Anakula bure, anatumia umeme bure, maji bure, shughuli ya kitandani kwa 98% naifanya mimi cha kushangaza anataka niwe nampa hela wakati kimsingi yeye ndie anatakiwa kunipa hela mimi kwa sababu ndie anaenufaika zaidi. Nikampiga chini.
Mleta mada uko sahihi sana i feel what u say big tym, hayo maviumbe ni maj!n! mufilisi. Hela ninayo na sioni taabu kutoa ila sitoi na sitatoa hela kwa mwanamke ambae hana chembe ya huruma, utu na ubinadamu. I observe too well i know.
Sina tatzo na kuomba hela ila kuna vitu mwenyewe na vi expect toka kwake from my care and affection nayompa ila utakuta Yani ni maviumbe flan selfish sanaa yanjiangalia yenyewe tu yani ukutane nalo moja li zembe alaf halijitumi kufanya kazi let alone kuchangia hata mawazo chanya yakukusogeza hayana ila ni kuomba hela na kutaka kukutumia tu…..
Kuna mmoja nilikutana nae kwenye harusi tuka exchange number nikaimbisha siku ya 2 mtu ananiomba laki 2 out of thin air kwamba anataka ya saloon. WTF
Nikamuambia kwa hyo wewe mtu kuwa rafiki yako hadi akupe hela.
Mtu basi omba hata 50k utaeleweka mtu siku ya pili anataka laki 2. Hahaha kweli bongo tambalalez u know. Hahaha vijana madem wa kweli wapo na madem pisi kali njaa kali ni wa kumwaga pia.