2024 usimfanyie mwanamke financial favour yoyote

Wewe huwa unaomba shilingi ngapi ambayo unahisi hatuna, zisingekuwepo hoja ya kuombwa ingetoka wapi sasa.
Mimi siombi, kwanza najua kuitafuta yangu binafsi kwahiyo ninazo.....akinipa ni kama nyongeza tu kwanza siombagi ananipa kwa hiari
 

Mim kabisa[emoji23][emoji23][emoji23] huwa naambiwa mama kaa na hela zako tumia unavyotaka .Ila kwa mambo ya maendeleo tunasaidiana na kuna muda naenda bank natoa nampa hata kama ni kidogo
 

We tafuta mwanaume mwenzio wanawake hutuwezi
 

[emoji23][emoji23][emoji23] wanawakomesha free p
 
Hela zenyewe za kutoa mnazo au mnapeana moyo tu...mxxiiew

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Vijana mmevulugwa haki..[emoji23][emoji23]
 

Aloo kuna watu mnabahati
Yaan unapigwa mzinga wa laki2[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…