2024 usimfanyie mwanamke financial favour yoyote

Bosss kwani ukimlipia elfu 10 ya luku utapungukiwa nini? Kwa mwaka wenye wiki 52

Unazani wanaume wote tukiwa hivyo, hawa watu wataweza survive kweli??

Weekend hii naelekea Boschendal wine estate, kutumia ⅒ ya huko benki
Suala sio kuwabania suala ni kuwakumbusha wajibu wao. Hii kupuuzia puuzia kwa kuona iyo hela ni ndogo tumefika hatua wanawake wanaona kupewa hela ni haki yao. Hatuwezi kutengeneza kizazi cha kausha damu.
 
Wanawake wa sasahivi hawana akili
Yaan ni kama mang’ombe

Namuangalia huyu wakwangu naishia kusikitika tu
Akili 1%
Uwezo wa kufikili ni zero!

Shida kubwa ya hawa viumbe ni kulinganisha muda na matarajio ili wapate matokeo

Ni nadra sana kumpata mtu anaeeleea kua kwa wakati hu kifanyike nini na kwanini?

Me nnaajila tayari
Najaribu kumuweka kwenye target aelewe ya kua muda muafaka wa kujenga maisha ni sasa lenyewe linawaza ujinga tu
Yaani wapo kama vichaa
Kusema ukweli kwa sasa haya mawazo kwao sina
Muhimu kuwatromba tu
Yaan kula mbususu tani yako achana nao
Hao watu ni vichaa
Wehu
Yaani hata maneno ya kuandika nakosa
 
Kutawanya pesa kuwafurahisha kausha damu sio kipimo cha utajiri mdogo angu.
 
Wewe ni kausha damu tu huna lolote
 
Suala sio kuwabania suala ni kuwakumbusha wajibu wao. Hii kupuuzia puuzia kwa kuona iyo hela ni ndogo tumefika hatua wanawake wanaona kupewa hela ni haki yao. Hatuwezi kutengeneza kizazi cha kausha damu.
Kama mwanaume kaamua mwenyewe kumpa mwanamke ama wanawake zake pesa anazotafuta kwa jasho lake shida ipo wapi? Na pia kama mtu hataki kumpa pesa mwanamke si anaacha tu mbona ni kitu rahisi sana jamani mana kutoa pesa si lazima.
 
Kikubwa umaskini unaanziaga kichwani na unaishiaga kwenye kukwepa uwajibikaji. Sasa kama mtu mzima unakwepa kuwa responsible na maisha yako unataka vya dezo tu you must be the real problem. Mwanaume akubebee mizigo yako kama nani
Ndipo tulipofika uko kaka yangu. Wanawake wanaona kupewa pesa na mwanaume ni haki yao ya lazima ambayo ni lazima waipate. Mwanaume pesa zako umetafuta kwa jasho lako lakini usipompa unaitwa shenzi
 
Kama mwanaume kaamua mwenyewe kumpa mwanamke ama wanawake zake pesa anazotafuta kwa jasho lake shida ipo wapi? Na pia kama mtu hataki kumpa pesa mwanamke si anaacha tu mbona ni kitu rahisi sana jamani mana kutoa pesa si lazima.
Kausha damu lazima wapigwe vita hawa ni wakina mama na dada za watu hivi mabinti na wadogo zao wakiona yanayoendelea wanajifunza nini? Matokeo yake watoto wa kike hawataki shule wala kujishughulisha na shughuli halali za kuwapa kipato wakijua kudanga kunalipa, na tunaongea haya sio kwamba tunawaonea uwivu ila tunawalinda pia huko kwenye viwanja vya starehe mabinti wadogo wanaleweshwa pombe na kuishia kuingiliwa kinyume na maumbile wakiwa hawajielewi hii yote ni kuendekeza vya bure, wangeenda kiwanja kwa gharama zao kuanzia usafiri, chakula, vinywaji n.k wangekua hawafanyiwi haya matendo. Hatuwezi kutengeneza kizazi cha kausha damu eti kwa sababu wanaume wanatoa hela kwa hiyari yao sio wanaume wote wanawapa hela kwa mema wengine lengo lao ni kuwafanyia maovu.. Mwanamke lazima akumbushwe kuwajibika.
 
Sawa.
 
Ndipo tulipofika uko kaka yangu. Wanawake wanaona kupewa pesa na mwanaume ni haki yao ya lazima ambayo ni lazima waipate. Mwanaume pesa zako umetafuta kwa jasho lako lakini usipompa unaitwa shenzi
Kabisa.dunia imebadilika kila mtu ajipambanie wao kuomba pesa kwa mwanaume wanaona wameomba kitu kidogo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…