2024 usimfanyie mwanamke financial favour yoyote

Nilichogundua huu uzi umejaa wanaume wanaonuka umaskini, Siku zote maskini wanakuaga very bitter, narcissistic, sadist wakizidisha wanakua wachawi mfyuuu. Umaskini mbaya sanaa.
Tujitahidi kutafuta vyakwetu umalaya sio ishu sikuhiz...hata ukiolewa mwanaume anataka mwanamke mpambanaji...hakuna mwanaume anataka mke goal kipper

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Suala sio kuwabania suala ni kuwakumbusha wajibu wao. Hii kupuuzia puuzia kwa kuona iyo hela ni ndogo tumefika hatua wanawake wanaona kupewa hela ni haki yao. Hatuwezi kutengeneza kizazi cha kausha damu.
Vipi na majukumu ya kazi za nyumbani kupika, kuosha vyombo, kulea, kusafisha nyumba, nk huwa ni wajibu wa nani
 
Nilichogundua huu uzi umejaa wanaume wanaonuka umaskini, Siku zote maskini wanakuaga very bitter, narcissistic, sadist wakizidisha wanakua wachawi mfyuuu. Umaskini mbaya sanaa.
Wewe utakuwa tajiri ombaomba, Mbona kama imekuchoma?
 
Hahaa ulivyosema bongo tambalale umenikumbusha marehemu king of social media u know
 
Kaka hamna mwanaume ambae hapendi kumpa hela mwanamke wake, shida wadada wengi sahivi wako kimaslahi, mdada hajavutiwa na wewe kimapenzi kukuchuna anataka, kimahusiano mwanaume unakua unahisi unatumika Rwaz
 
Nakazia hapa
 
Dear ATM tulia, ujue akiomba omba unapata na akili za kusaka zaidi ehee? Ila yeye kausha damu akili ya kuzisaka hana [emoji23][emoji23]
Dear chombo cha starehe tulia ukinyimwa pia usinune
 
Kweli mkuu wanawake ni natural receivers hata afanye kazi pesa yake haionekani na ni wabahili wanaume ni natural giver take that.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…