Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Ndio wale waleMimi ni mjaluo wa Buturi
Nani kaongelea mimba sehemu yoyote hapo kwenye uzi?Sasa ukimpa demu mimba then uingie mitini hapo unakuwa umemkomoa nani
Wajinga wapo wengi sana huku mtaani. Ndio maana mabinti wanaendelea kufanya ujinga mwingi sababu kuna kundi kubwa na wanaume na vijana wanaosponsor ujinga wao.Now days relationship is a trap. Jikute gentleman au nice guy kausha damu hawatakuacha salama.
Hamna cha natural giver wala reciever mke wangu akipiga hela ni yetu, na mimi nikipiga hela ni yetu sote. Tunainjoy tu maisha we kama umekutana na jambazi nikupe pole tu.Kweli mkuu wanawake ni natural receivers hata afanye kazi pesa yake haionekani na ni wabahili wanaume ni natural giver take that.
Acha kusawazisha magoli hapa. Aliyekwambia kuwa kila mtu dada yake ni mdangaji hapa ni nani?Uzuri hao mademu pia kuna dada zenu, wadogo zenu, mabinamu na watoto wenu. So; karma has no menu, you get served what you deserve
50K kwaajiri ya nywele? Bado sijashiriki upuuzi.Mleta mada uko sahihi sana i feel what u say big tym, hayo maviumbe ni maj!n! mufilisi. Hela ninayo na sioni taabu kutoa ila sitoi na sitatoa hela kwa mwanamke ambae hana chembe ya huruma, utu na ubinadamu. I observe too well i know.
Sina tatzo na kuomba hela ila kuna vitu mwenyewe na vi expect toka kwake from my care and affection nayompa ila utakuta Yani ni maviumbe flan selfish sanaa yanjiangalia yenyewe tu yani ukutane nalo moja li zembe alaf halijitumi kufanya kazi let alone kuchangia hata mawazo chanya yakukusogeza hayana ila ni kuomba hela na kutaka kukutumia tu…..
Kuna mmoja nilikutana nae kwenye harusi tuka exchange number nikaimbisha siku ya 2 mtu ananiomba laki 2 out of thin air kwamba anataka ya saloon. WTF
Nikamuambia kwa hyo wewe mtu kuwa rafiki yako hadi akupe hela.
Mtu basi omba hata 50k utaeleweka mtu siku ya pili anataka laki 2. Hahaha kweli bongo tambalalez u know. Hahaha vijana madem wa kweli wapo na madem pisi kali njaa kali ni wa kumwaga pia.
Akili za kimatako hizi ndizo zimefanya kumekuwa na ongezeko kubwa la wadangaji sababu kuna watu kama wewe mada serious kama hizi kazi yenu ni kuleta mizaha na kuona hakuna tatizo.Wanaume tumeumbwa mateso bwana mkuu
Dawa yake mpe pesa, akileta za kuleta mpe tena pesa.akitaka kukuacha mpe tena pesa. Dozi ni pesa kutwa mara 3 itatibu magonjwa yote
mbona hasira mkuu umepata chai tangawizi leo kweli?Akili za kimatako hizi ndizo zimefanya kumekuwa na ongezeko kubwa la wadangaji sababu kuna watu kama wewe mada serious kama hizi kazi yenu ni kuleta mizaha na kuona hakuna tatizo.
Wewe kama unahela sana kasaidie yatima, na usilete story za kuwa tusikupangie matumizi ya pesa zako sababu wewe pia umekuja kutupangia matumizi ya pesa zetu.
Acha ufala.
Ukute anaishi kwa shemeji akeAkili za kimatako hizi ndizo zimefanya kumekuwa na ongezeko kubwa la wadangaji sababu kuna watu kama wewe mada serious kama hizi kazi yenu ni kuleta mizaha na kuona hakuna tatizo.
Wewe kama unahela sana kasaidie yatima, na usilete story za kuwa tusikupangie matumizi ya pesa zako sababu wewe pia umekuja kutupangia matumizi ya pesa zetu.
Acha ufala.
Huyu aliyesema wanaume tumeumbiwa mateso ni miongoni mwa idadi kubwa ya wapuuzi wanaojiweka kundi la wanaume ile hali hawana sifa za kiume wala hawana legitimacy ya kututolea matamko as if ni wawakilishi wetu.Hii misemo ya wanaume tumeumbwa mateso, kitanda hakizai halamu na mingine inayomtengenezea mwanaume fikra ya kukumbatia mateso hata kama ana nafasi ya kujinasua ni ya kipuuzi ndio misemo inayosababisha wanaume wanajibebesha tabu ambazo wangeweza kuziepuka, wanang'ang'ania limwanamke libinafsi, lisilokua na adamu na limalaya lililokubuu. limwanamke limefanya umalaya wake limekuletea mimba isiyokua yako halafu ulee tu eti kitanda hakizai halamu, limwanamke lichoyo, libinafsi, halina shukrani, halilidhiki, haliongezi value yoyote kwenye mahusiano uendelee kulilea tu eti wanaume tumeumbwa mateso.! that is total bullshit. Iyo misemo ni ya kizamani haipaswi kupewa kipaumbele kwenye kizazi hiki cha wanawake wadangaji na kausha damu.
Mwongozo mzuri huu, kwenye kikao chetu cha januari hii ni agenda ya kwanzaWanaume walio wengi wanaingia gharama kuwafanyia wema wanawake kwa kuongozwa na huruma ya kuwaona wanawake ni innocent and honest creatures au kujitengenezea mazingira ya kupewa mbususu.
Sikilizeni vijana, wanawake wa sasa almost wote ni mataperi, shida wanazoombea msaada wa kifedha ni uongo. Ukiombwa hela kwa ajiri ya luku, kwenda hospitali, n.k jua ni uongo na iyo text ya kuombwa hela hautumiwi peke yako, text iyo iyo moja mnatumiwa sio chini ya wanaume 20 na wanaume watakaofanya muhamala basi wanawake wanaona mafala na kuwadhiaki sana uko kwenye story zao saluni na magetoni kwao.
2024 ukimtongoza demu akichomoa move on, don't keep friendly zone she will use you as a leverage for her financial needs. Kijana mwenzangu, 2024 date na mwanamke mwenye kazi halali inayomuingizia kipato ila hawa wanaamini kutoa mbususu pekee ndio uhalali wa kukubebesha shida zake piga hit and run. 2024 say no to "relationship kausha damu"
Washkaji zako wa kiume wakikwama hata kwa mambo yasiyo na lazima kama mfuko upo vizuri walinde maana na wewe siku ukikwama watukulinda ila wanawake hapana maana wanawake hawana msaada wowote mwanaume ukifulia.
Najua kuna wadangaji, washamba wa mapenzi na waliolishwa limbwata watakuja kutapika hapa, wapuuzeni hao. Kijana mwenzangu 2024 binti wa mtu akikuletea pigo za kausha damu piga mimba ingia mitini.
Tuna nini?Ndio wale wale
Hapo kwenye kutoa pesa 50/50 hawataki kabisa kuisikia. Wanawake wanataka usawa lakini hawataki kubeba wajibu unaotokana na huo usawaHaki sawa kila mtu ampe mwenzie pesa
Ndiyo hawa akina Lucas Mwashambwa ni hatari snHapo kwenye kutoa pesa 50/50 hawataki kabisa kuisikia. Wanawake wanataka usawa lakini hawataki kubeba wajibu unaotokana na huo usawa
Umesoma mada au unadakia tuu comment za wanaume rijali.?Nani kaongelea mimba sehemu yoyote hapo kwenye uzi?
Sasa mbona na kazi za ndani hamsemi ni zetuHamna cha natural giver wala reciever mke wangu akipiga hela ni yetu, na mimi nikipiga hela ni yetu sote. Tunainjoy tu maisha we kama umekutana na jambazi nikupe pole tu.