Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
- Thread starter
- #41
Sex imekua overrated sana. Say no to kausha damu.The time unafinyiwa kwa ndani such ego itakuwepo hahaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sex imekua overrated sana. Say no to kausha damu.The time unafinyiwa kwa ndani such ego itakuwepo hahaaa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Walimu hukutana sana na haya majina mwishoni mwa mwezi (tarehe za mishahara).
"My sweet, My honey, My lotion, My guitar, My baby".
Baada ya maokoto kukata majina halisi ni haya;
Daudi vipi, niambie Bakari, uko powa we Kiumbe...View attachment 2848733
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wewe ni kausha damu unatafuta angle ya kujipa faraja tu. Kausha damu kupigwa mimba na kutelekezwa ni haki yenu kabisa tena wahuni tukipata chance tunafumua malinda kabisa.Mataperi = matapeli. Sasa ukipiga mimba ukaingia mitini si ushenzi huo? Mwanaume aliyekamilika hakimbii mimba. Cha muhimu kama wewe bado ni maskini kaa mbali na wanawake. Maskini inatakiwa tu ajiunge na CHAPUTA au akanunue changu kwa bei elekezi ya Tsh 3000.
Kausha damu, Chuma ulete, Yatima mwendokasi...Ndio wanaitwa kausha damu?[emoji1787][emoji1787] You guys mko level ya juu kwenye misemo.[emoji1787][emoji119]
Wanakukausha damu ukimhitaji tu?🤣
Acha umaku. Ninaweza kukupa mimba wewe na mama yako.Wewe ni kausha damu unatafuta angle ya kujipa faraja tu. Kausha damu kupigwa mimba na kutelekezwa ni haki yenu kabisa tena wahuni tukipata chance tunafumua malinda kabisa.
Am good dear ATM, umeamkaje? 😆Hello kaisha damu,how'd?🤣🤣🤣🤣
🏃♂️🏃♂️
Yani ukipiga naye stori tu tayari kashaanza "nina njaa sana" ukimwambia twende sehemu tukale msosi hukataa ila huendeleza msemo huo huo...ukishaona hivyo basi kimbia fasta hata ukianguka inuka vumilia maana hana njaa tofauti na mzinga wa chapaa "njaa ya pesa" [emoji1]Wanakukausha damu ukimhitaji tu?[emoji1787]
Hapo ndiyo kaharibu uzi woteSasa ukimpa demu mimba then uingie mitini hapo unakuwa umemkomoa nani
Kuna baadhi ya Wanawake hawana aibu kabisa, kuna mmoja ni mshangazi classmate wa sister nilikutana nae mjini tukabadilishana namba akaanza kunisifia nimekuwa mbaba mara kunitafuta mara kwa mara nikabaki kushangaa huyu vipi, haikupita wiki ananiletea shida zake ana anaomba 1m, nilicheka na nilivyomjibu sina mpaka leo hii hajanicheki tena.Mleta mada uko sahihi sana i feel what u say big tym, hayo maviumbe ni maj!n! mufilisi. Hela ninayo na sioni taabu kutoa ila sitoi na sitatoa hela kwa mwanamke ambae hana chembe ya huruma, utu na ubinadamu. I observe too well i know.
Sina tatzo na kuomba hela ila kuna vitu mwenyewe na vi expect toka kwake from my care and affection nayompa ila utakuta Yani ni maviumbe flan selfish sanaa yanjiangalia yenyewe tu yani ukutane nalo moja li zembe alaf halijitumi kufanya kazi let alone kuchangia hata mawazo chanya yakukusogeza hayana ila ni kuomba hela na kutaka kukutumia tu…..
Kuna mmoja nilikutana nae kwenye harusi tuka exchange number nikaimbisha siku ya 2 mtu ananiomba laki 2 out of thin air kwamba anataka ya saloon. WTF
Nikamuambia kwa hyo wewe mtu kuwa rafiki yako hadi akupe hela.
Mtu basi omba hata 50k utaeleweka mtu siku ya pili anataka laki 2. Hahaha kweli bongo tambalalez u know. Hahaha vijana madem wa kweli wapo na madem pisi kali njaa kali ni wa kumwaga pia.
" Wanawake hawana msaada wowote mwanaume akifulia" hii ndio point ya msingi ambayo mwanaume yoyote yule anapaswa kuitambua.Wanaume walio wengi wanaingia gharama kuwafanyia wema wanawake kwa kuongozwa na huruma ya kuwaona wanawake ni innocent and honest creatures au kujitengenezea mazingira ya kupewa mbususu.
Sikilizeni vijana, wanawake wa sasa almost wote ni mataperi, shida wanazoombea msaada wa kifedha ni uongo. Ukiombwa hela kwa ajiri ya luku, kwenda hospitali, n.k jua ni uongo na iyo text ya kuombwa hela hautumiwi peke yako, text iyo iyo moja mnatumiwa sio chini ya wanaume 20 na wanaume watakaofanya muhamala basi wanawake wanaona mafala na kuwadhiaki sana uko kwenye story zao saluni na magetoni kwao.
2024 ukimtongoza demu akichomoa move on, don't keep friendly zone she will use you as a leverage for her financial needs. Kijana mwenzangu, 2024 date na mwanamke mwenye kazi halali inayomuingizia kipato ila hawa wanaamini kutoa mbususu pekee ndio uhalali wa kukubebesha shida zake piga hit and run. 2024 say no to "relationship kausha damu"
Washkaji zako wa kiume wakikwama hata kwa mambo yasiyo na lazima kama mfuko upo vizuri walinde maana na wewe siku ukikwama watukulinda ila wanawake hapana maana wanawake hawana msaada wowote mwanaume ukifulia.
Najua kuna wadangaji, washamba wa mapenzi na waliolishwa limbwata watakuja kutapika hapa, wapuuzeni hao. Kijana mwenzangu 2024 binti wa mtu akikuletea pigo za kausha damu piga mimba ingia mitini.
Niko macho usiku kucha, kausha damu😅Am good dear ATM, umeamkaje? 😆
Dear ATM tulia, ujue akiomba omba unapata na akili za kusaka zaidi ehee? Ila yeye kausha damu akili ya kuzisaka hana 😂😂Niko macho usiku kucha, kausha damu😅
Uwe na asubuhi njema.
🤣🤣🤣🤣🤣Yani ukipiga naye stori tu tayari kashaanza "nina njaa sana" ukimwambia twende sehemu tukale msosi hukataa ila huendeleza msemo huo huo...ukishaona hivyo basi kimbia fasta hata ukianguka inuka vumilia maana hana njaa tofauti na mzinga wa chapaa "njaa ya pesa" [emoji1]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sasa hii inahusiana nini na hilo katazo hapo?Uzuri hao mademu pia kuna dada zenu, wadogo zenu, mabinamu na watoto wenu. So; karma has no menu, you get served what you deserve
Ni muhimu kuwapa muongozo. Kuna mmoja nishawahi kumpelekea moto kuanzia hapo kila nikiienda maeneo ya ofisini kwake ananiambia ana njaa, akipiga simu nisipopokea au text nikichelewa kujibu tukionana tu anamaindi. Ikabidi nimwambie ukweli what happened btn us is just one night stand, don't take it serious.Mi demu nilienae tulikubaliana mapena no feelings no attachement, just mbususu na akiomba pesa sio lazima nimpe kama sina anakausha au anaomba kwa wengine huko.
Eheeeh nipe madini akili inikae sawa😅.Dear ATM tulia, ujue akiomba omba unapata na akili za kusaka zaidi ehee? Ila yeye kausha damu akili ya kuzisaka hana 😂😂
Wanaume mara zote tunashauriwa kuoa au kuingia kwenye mahusiano na wanawake wanaotupenda, shida inakuja mwanamke anakupenda ila kwa kuwa hana sura nzuri ya kuvutia au hajajaliwa tako basi tunaamua kuwatolea nje, matokeo yake tunaishia kuwapenda wanawake tunaowapenda lakini wao hawatupendi.Kama kuna thamani anayoingeza katika mahusiano yenu uyo ni sawa kabisa. Kuna wanawake wengine ukiondoa sex hakuna anacho offer kwenye mahusiano, hawa ni wale wanaamini kutoa mbususu pekee ndio uhalali wa kukubebesha gharama za shida na tamaa zake za kufukuzana na fashion za nguo na matoleo mapya ya iphone.