2025 CCM haitapoteza jimbo hata moja, CHADEMA tulieni

2025 CCM haitapoteza jimbo hata moja, CHADEMA tulieni

Upo sahihi hao wanaokupinga hawajui wanachokipinga

Uchaguzi una andaliwa na ccm
Wanao simamia huo uchaguzi ni ccm
Wanaotangaza matokeo ni ccm
Polisi wa ccm
Nec ya ccm vyombo vya habari vya ccm

Majeshi yote ni ccm
Yani kwa mfumo huu wa uchaguzi
Kama mpinzani hata pata jimbo hata moja basi ccm yenyewe iamue tu kutoa hayo majimbo
Lakini kama wata amua kufuata utaratibu wa mfumo huu wa uchaguzi uliokuepo
Hakuna mpinzani atakayepata
Jimbo kata au mtaa
Huo ndio ukweli
Hila kama mfumo wa uchaguzi ungekua kama Senegal
Bas ccm wangekua wapinzani
Upo sahihi
 
WanaJF,

Heri ya Mwaka Mpya 2023!

Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.

CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA

Msakila M Kabende
Kakonko.
Huo ndio uhuru wa mawazo Mtani wangu.
Bila shaka huko ulipo mambo yote ni super, je kwa wenzio mambo ni hivyo?
 
Back
Top Bottom