2025 CCM haitapoteza jimbo hata moja, CHADEMA tulieni

2025 CCM haitapoteza jimbo hata moja, CHADEMA tulieni

Kwa Sera za Kulamba Asali wangesubiri sana ila sababu wanasiasa ni walaghai ikifika 2024 watajifanya kubadilika na kuanza kujishangaa wenyewe na kusingiziana kwamba sio wao bali ni wasiojulikana ndio wanahusika
 
WanaJF,

Heri ya Mwaka Mpya 2023!

Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.

CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA

Msakila M Kabende
Kakonko.
Majimbo yatakayorudishwa chademani ni : ubungo, kawe, Arusha mjini, mbeya mjini, luangwa, mtama, kigoma mjini, buhigwe, kibakwe, tarime mjini na kijinini kwa yule mjinga Kembaki, singida mjini na iramba nk.
 
Majimbo yatakayorudishwa chademani ni : ubungo, kawe, Arusha mjini, mbeya mjini, luangwa, mtama, kigoma mjini, buhigwe, kibakwe, tarime mjini na kijinini kwa yule mjinga Kembaki, singida mjini na iramba nk.
Umetumia viashiria gani mkuu?
 
WanaJF,

Heri ya Mwaka Mpya 2023!

Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.

CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA

Msakila M Kabende
Kakonko.
FB_IMG_15413122208257667.jpg
 
WanaJF,

Heri ya Mwaka Mpya 2023!

Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.

CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA

Msakila M Kabende
Kakonko.
We mzee kwahiyo miaka 13 bila nyongeza ya mshahara inatosha au haitoshi
 
WanaJF,

Heri ya Mwaka Mpya 2023!

Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.

CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA

Msakila M Kabende
Kakonko.
Wananchi kususia mikutano yote ya CDM ni ishara tosha juu ya ushindi wa CCM
 
WanaJF,

Heri ya Mwaka Mpya 2023!

Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.

CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA

Msakila M Kabende
Kakonko.
Mawazo mgando
 
WanaJF,

Heri ya Mwaka Mpya 2023!

Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.

CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA

Msakila M Kabende
Kakonko.
Kama ukoo wako pekee ndio utapiga kura nchi nzima ccm itashinda
 
Back
Top Bottom