Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majimbo yatakayorudishwa chademani ni : ubungo, kawe, Arusha mjini, mbeya mjini, luangwa, mtama, kigoma mjini, buhigwe, kibakwe, tarime mjini na kijinini kwa yule mjinga Kembaki, singida mjini na iramba nk.WanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
Umetumia viashiria gani mkuu?Majimbo yatakayorudishwa chademani ni : ubungo, kawe, Arusha mjini, mbeya mjini, luangwa, mtama, kigoma mjini, buhigwe, kibakwe, tarime mjini na kijinini kwa yule mjinga Kembaki, singida mjini na iramba nk.
Hayo majimbo yote chadema ilimshinda na mengine jpm aliagoza wapite bila kupingwa ccm baada ya kuona nguvu ya chadema ni kubwa na ndo chanzo Cha kuzuia mikutano ya siasa piaUmetumia viashiria gani mkuu?
WanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
Hivi alitubu dhambi zake?Hya majimbo yote jpm aliiba tu
Naskia alitubu kwa pengo badala ya munguHivi alitubu dhambi zake?
Mzee Mdee je?Katambi na Silinde wamejipanga? Hao watazinguliwa sio kwa sababu hawajatimiza majukumu Bali kwa Sababu wataitwa Wasaliti..
Labda wasipite kula za maoni yaani CCM iweke wagombea wapya.
Hivi shujaa atauona kweli ufalme wa mbinguni? Sio kwa wizi uleNaskia alitubu kwa pengo badala ya mungu
Ila alikuwa mzalendo naskiaHivi shujaa atauona kweli ufalme wa mbinguni? Sio kwa wizi ule
Upi huo??Ila alikuwa mzalendo naskia
Toba huwa Siri ya MTU na MUNGUHivi alitubu dhambi zake?
We mzee kwahiyo miaka 13 bila nyongeza ya mshahara inatosha au haitoshiWanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
Wananchi kususia mikutano yote ya CDM ni ishara tosha juu ya ushindi wa CCMWanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
Toshekeni na mishahara yenu "Yesu 01"We mzee kwahiyo miaka 13 bila nyongeza ya mshahara inatosha au haitoshi
Sawa tumeelewa kuwa mmefirisika richa ya Tozo kibao na tumikopo twa china juu yakeToshekeni na mishahara yenu "Yesu 01"
Mawazo mgandoWanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
Kama ukoo wako pekee ndio utapiga kura nchi nzima ccm itashindaWanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
Tangu 1995 ukoo wng ndo huamua mshindi?Kama ukoo wako pekee ndio utapiga kura nchi nzima ccm itashinda