Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapige mswaki kwanza domo linatoa uvundo mbaya sanaWanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
Hallucinating...WanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
Kweli huko Kakonko inaweza ikawa vigumu washindani wa ccm kushinda jimbo.WanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
Jimbo la singida mjini, Lisu wtachukua asubuhi😁
Katambi na Silinde wamejipanga? Hao watazinguliwa sio kwa sababu hawajatimiza majukumu Bali kwa Sababu wataitwa Wasaliti..WanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
WanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
Hata Sasa wanaisimamia ndio maana unaona inatimiza wajibu wake na ilani..Baadala ya kuwaambia wabunge waisimamie serikali wewe unawaza ccm kuchukua majimbo yote.
Wewe jamaa, Kichwa chini miguu juu, umewahi waza kampeni ya chama chenu eti kibaki pekee mjengoni? Niambie mlichokifanya sasa miaka 7.sera ya maendeleo hayana chama imefanikiwaje? Kuhubiri eti vyama vingi ni uchuro mjue mnajinyonga wenyewe na vizazi vyenu. Ukweli maendeleo ya kweli yataonekana ikiwa tu Tutakua na vyama wakilishi kutengeneza nchi bungeni na kwenye mabaraza ya madiwani.WanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
Umerukwabna akili au umeamua tu kujitoa akili ?WanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
Kwa nini majijini kuwepo upinzani mkali?yapo majimbo watapata,ila kwenye majiji itakua ni kazi kubwa kupata.
Kwa nini majijini kuwepo upinzani mkali?yapo majimbo watapata,ila kwenye majiji itakua ni kazi kubwa kupata.
Mbn unapinga hisia zangu - Mkuu kila mmoja akiteuliwa nchi itakuwa na wateule wangapi - Mungu anatoshaUmesahau kuwekwa namba za simu Ili tukujali kwenye uteuzi ujao😃😃
Confidence za kibwegeWanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.