2025 CCM haitapoteza jimbo hata moja, CHADEMA tulieni

2025 CCM haitapoteza jimbo hata moja, CHADEMA tulieni

WanaJF,

Heri ya Mwaka Mpya 2023!

Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.

CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA

Msakila M Kabende
Kakonko.
Kapige mswaki kwanza domo linatoa uvundo mbaya sana
 
WanaJF,

Heri ya Mwaka Mpya 2023!

Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.

CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA

Msakila M Kabende
Kakonko.
Hallucinating...
JamiiForums1451489843.jpg
 
WanaJF,

Heri ya Mwaka Mpya 2023!

Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.

CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA

Msakila M Kabende
Kakonko.
Kweli huko Kakonko inaweza ikawa vigumu washindani wa ccm kushinda jimbo.
 
WanaJF,

Heri ya Mwaka Mpya 2023!

Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.

CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA

Msakila M Kabende
Kakonko.
Katambi na Silinde wamejipanga? Hao watazinguliwa sio kwa sababu hawajatimiza majukumu Bali kwa Sababu wataitwa Wasaliti..

Labda wasipite kula za maoni yaani CCM iweke wagombea wapya.
 
WanaJF,

Heri ya Mwaka Mpya 2023!

Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.

CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA

Msakila M Kabende
Kakonko.

Baadala ya kuwaambia wabunge waisimamie serikali wewe unawaza ccm kuchukua majimbo yote.
 
Baadala ya kuwaambia wabunge waisimamie serikali wewe unawaza ccm kuchukua majimbo yote.
Hata Sasa wanaisimamia ndio maana unaona inatimiza wajibu wake na ilani..

Ili CCM wasipoteze Jimbo hata Moja,Ni vyema kula za maoni wakapita watu ambao wanakubalika na jamii,wakitumia Pesa za kuhonga wajumbe itawakata..
 
Upo uwezekano tukawabalansia hata majimbo 20 watakenua Meno hao, uzuri mama anajua Kula na vipofu.
 
WanaJF,

Heri ya Mwaka Mpya 2023!

Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.

CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA

Msakila M Kabende
Kakonko.
Wewe jamaa, Kichwa chini miguu juu, umewahi waza kampeni ya chama chenu eti kibaki pekee mjengoni? Niambie mlichokifanya sasa miaka 7.sera ya maendeleo hayana chama imefanikiwaje? Kuhubiri eti vyama vingi ni uchuro mjue mnajinyonga wenyewe na vizazi vyenu. Ukweli maendeleo ya kweli yataonekana ikiwa tu Tutakua na vyama wakilishi kutengeneza nchi bungeni na kwenye mabaraza ya madiwani.
 
WanaJF,

Heri ya Mwaka Mpya 2023!

Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.

CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA

Msakila M Kabende
Kakonko.
Umerukwabna akili au umeamua tu kujitoa akili ?
 
"CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA"

Only in poor and ignorant countries
 
WanaJF,

Heri ya Mwaka Mpya 2023!

Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.

CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA

Msakila M Kabende
Kakonko.
Confidence za kibwege
 
Back
Top Bottom