Ukoo wa mashogaTangu 1995 ukoo wng ndo huamua mshindi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukoo wa mashogaTangu 1995 ukoo wng ndo huamua mshindi?
Haya nayo maneno - ongeza digree ya pili ya matusiUkoo wa mashoga
Watu wanajitambua,Kwa nini majijini kuwepo upinzani mkali?
Sisi huku CCM hatuitaki kabisa mbunge analijua hilo na ameanza kujiandaa kutogombea maana ataanguka vibaya.Jamani wananchi huku hawataki kabisa opposition - kila mmoja yuko kwa CCM
Mzee wa kujificha kwenye kichaka Cha karanga!Haya nayo maneno - ongeza digree ya pili ya matusi
Nakazia niliyosema awali - kuja kwa Paul Makonda ndiyo kunaimaliza kbs CDM, ACT, Umoja, CUF nkWanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
Na wewe unaitwa BABA huko nyumbani kwako[emoji17]nasikitika Baba yako kupoteza Shahawa zake zilizokufanya uzaliwe wewe,heri angezimwaga chooni tuNakazia niliyosema awali - kuja kwa Paul Makonda ndiyo kunaimaliza kbs CDM, ACT, Umoja, CUF nk
2025 CCM haikwepeki!
SSH for Tanzanian
Nyie wajinga wawili mnakera sanaa, kwani CCM wakipata wabunge wote kama sasa nini kinabadilika?WanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
Wakimbizi wa kutoka Kigoma kuja Dar? Yote ni TanzaniaKuna mtanzania anajina la Kabende kweli? hawa wakimbizi lazima wajifiche CCM
Nitaanzisha #Watz tupimwe afya ya akili kwa lazima# maana naona idadi ya wenye matatizo hayo ni kubwa kuliko takwimu za kila kati ya Watanzania watano, basi mmoja ana tatizo la afya ya akili!!WanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
Tulia mkuuWakimbizi wa kutoka Kigoma kuja Dar? Yote ni Tanzania
Unaibiwaje kura wakati una wakala?..🤔,tuache visingizio,,kuishinda ccm bado sanaNakuhakikishia kama sio wizi wa kura CCM haiwezi kushinda hata kwa asilimia 50!
Unaibiwaje kura wakati una wakala?..🤔,tuache visingizio,,kuishinda ccm bado sana
WanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonk
Chawa anaandika uzi akiwa anasubiria uji kama lanchi mguuni kandambili zimetoboka watu hohehae mpaka kichwaniWanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
Another level afu sina malengo makuuubwa kama nyumbu wa CDMChawa anaandika uzi akiwa anasubiria uji kama lanchi mguuni kandambili zimetoboka watu hohehae mpaka kichwani
Upo sahihi hao wanaokupinga hawajui wanachokipingaWanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.