2025 CCM haitapoteza jimbo hata moja, CHADEMA tulieni

2025 CCM haitapoteza jimbo hata moja, CHADEMA tulieni

Mkuu, ata intonation ya boss wako inaonesha anataka upinzani uwepo mpaka bungeni. Anatamani awe na akina Lissu, Mbowe, Msigwa, Heche na wengineo bungeni. Anataka kupata sauti ya pili, akosolewe arekebishe nchi isonge. Wewe una mawazo ya kale kama yule fedhuli aliyetangulia mbele ya haki
Umefunga mjadala kibabe sana [emoji120][emoji120]
 
WanaJF,

Heri ya Mwaka Mpya 2023!

Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.

CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA

Msakila M Kabende
Kakonko.
Kuna haha JF wakaweka na kitufe Cha dislike kwa ajili ya mataputapu kama haya.
 
Kwa nini majijini kuwepo upinzani mkali?
Kwenye majiji Chadema wanakubalika sana kwa sababu watu wana uelewa mpana maana inaeleweka wazi kuwa CCM inachaguliwa na wajinga wajinga tu
 

Attachments

  • FB_IMG_1604027510826.jpg
    FB_IMG_1604027510826.jpg
    34.8 KB · Views: 8
  • IMG-20191109-WA0000.jpg
    IMG-20191109-WA0000.jpg
    35.8 KB · Views: 6
WanaJF,

Heri ya Mwaka Mpya 2023!

Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.

CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA

Msakila M Kabende
Kakonko.
AKILI NDOGO huwaza hivyo kwa kuwa Wewe ndio UTAWAPIGIA KURA WAGOMBEA WOTE upo sahihi
 
WanaJF,

Heri ya Mwaka Mpya 2023!

Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.

CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA

Msakila M Kabende
Kakonko.
AKILI NDOGO huwaza hivyo kwa kuwa Wewe ndio UTAWAPIGIA KURA WAGOMBEA WOTE upo sahihi SIJUI UNATUMIA NINI KUFIKIRI
 
WanaJF,

Heri ya Mwaka Mpya 2023!

Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.

CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA

Msakila M Kabende
Kakonko.
AKILI NDOGO huwaza hivyo kwa kuwa Wewe ndio UTAWAPIGIA KURA WAGOMBEA WOTE upo sahihi SIJUI UNATUMIA NINI KUFIKIRI
20221207_064831.jpg
 
Mbn unapinga hisia zangu - Mkuu kila mmoja akiteuliwa nchi itakuwa na wateule wangapi - Mungu anatosha
Unadhani bila wabunge wa upinzani patatawalika?

Ilimlazimu jiwe pesa na nguvu kubwa kuwatafuta COVID waapishwe na kuingia mjengoni Ili apate kukubalika kimataifa!!!

Njaa isikufanye ukashindwa kutumia vizuri akili Yako.😠😠😠😠
 
Mleta mada nakuhakikishia;
Kwa uchaguzi wa 2025 bila wizi na uchafuzi wa NEC najua mama SSH anapita tena kwa kura nyingi sana ILA wabunge wengi wa ccm hawarudi mjengoni! take my point
 
WanaJF,

Heri ya Mwaka Mpya 2023!

Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.

CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA

Msakila M Kabende
Kakonko.
SAWA SHEIKH YAHAYA MSAKILA kwa utabiri mbona hujaacha namba ya Simu kuna Teuzi za MAWAZIRI
 
WanaJF,

Heri ya Mwaka Mpya 2023!

Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.

CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA

Msakila M Kabende
Kakonko.
In fair election majimbo mengi yatapotea likiwemo jimbo la Shinyanga vijijini kwa Naibu wa Waziri wa TAMISEMI, Arusha Mjini, Karatu, Tunduma kwa Mhe. Silinde, Mlimba kwa kijana wa Magufuli, Ubungo n.k.

Uchaguzi uliopita wabunge wengi ni wa Mhe. Rais. Hawakuwa chaguo la Wananchi. hivyo lazima watoke.
 
Jamani wananchi huku hawataki kabisa opposition - kila mmoja yuko kwa CCM
 
WanaJF,

Heri ya Mwaka Mpya 2023!

Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.

CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA

Msakila M Kabende
Kakonko.
Ipoteze au Isipoteze wewe inakusaidia nini?Bunge lote hili limeisha jana ni CCM,vipi Bei ya Sukari,Mchele na Mahitaji mengine ya kawaida ya kibinadamu imeshuka??tumia hilo bichwa lako kuanzisha nyuzi za maana na si kutumia Makalio yako kuanzisha UHARO JF
 
Back
Top Bottom