wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,945
- 5,733
Ukidai wewe inatosha mkuuTudai haki zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukidai wewe inatosha mkuuTudai haki zetu
Ukidai wewe inatosha mkuuTudai haki zetu
Ukidai wewe inatosha mkuuTudai haki zetu
Kabisa sema tu, sijapata pikipiki wala bajaji ya mama 😁Na ulishaahidi kwamba CCM utailinda mpaka kufa...
Kwenye usahili wa nafasi za ualimu makada pekee ndiyo wamepewa kipaumbele...Kabisa sema tu, sijapata pikipiki wala bajaji ya mama 😁
Usijali TRA imepigwa kibiriti kaa mkao wa kula...Kabisa sema tu, sijapata pikipiki wala bajaji ya mama 😁
[emoji3][emoji3][emoji3] watu wataandamana na kuhangaika kote na interview kumbe Kuna watu tayarKwenye usahili wa nafasi za ualimu makada pekee ndiyo wamepewa kipaumbele...
Yaani simu ndiyo imeaandika?Hii ni simu tu lakini siko hivyo
Tuendelee kulala usingizi mzito,tuendelee kucheka na wale viumbe waharibufu wa msituni tukichoka tutaamka.Kwani tilisha jichelewesha kwa uchawa na kutofikiri hadi watoa misaada wametuchoka.Tutegemee hali kuwa mara tano ya vile imekuwa kipindi cha kucheka na nyani na kuishia kuvuna mabua kila mara.CCM msijipe matumaini ya kushinda 2025 hakuna kijana tena msomi anaweza kuwapigia kura. Na mkiiba ndo mtajua nguvu ya vijana.
Tumechoka sana. Hata ajira zinatolewa kwa kujuana tu
Ndiyo ipo hivyo, Kila kazi kipaumbele makada kwanza au mwanachama mwenyewe kadi...[emoji3][emoji3][emoji3] watu wataandamana na kuhangaika kote na interview kumbe Kuna watu tayar
Kwani nimekwambia wewe na mimi tudai?Ukidai wewe inatosha mkuu
Uimara au vyombo vya dola ndo vinatumikaCCM siyo chama cha kuanguka - uimara wake ni mkubwa sana na mitandao yake ni mipana mno