2025 CCM out, mpende msipende. Vijana wamekata tamaa

2025 CCM out, mpende msipende. Vijana wamekata tamaa

CCM msijipe matumaini ya kushinda 2025 hakuna kijana tena msomi anaweza kuwapigia kura. Na mkiiba ndo mtajua nguvu ya vijana.
Tumechoka sana. Hata ajira zinatolewa kwa kujuana tu
wapinzani kuishinda cc inawezekana kama watapata mgombea anaekubalika nchi nzima. Pia wawe na mikakati ya hali ya juu na mbinu kali kushinda za ccm. Watumie vizuri madhaifu ya ccm hapo watashinda lakini sio kwa kutegemea vijana wa tz. Tz ina vijana wa hovyo ambao wengi wao hawajielewi na hawapigi kura na wengine wakipewa ela za vikundi wote wanapgia kura ccm halafu uchaguzi ukiisha wanaanza kulia hali ngumu.
 
Vijana hawa hawa ambao wakisikia gari imepasuka tairi wanakimbia?
 
We jamaa Kuna Uzi wako ulikua unamponda JPM(RIP).
kumbe ulikua unadanganya hauja pata ajira bado!
 
CCM msijipe matumaini ya kushinda 2025 hakuna kijana tena msomi anaweza kuwapigia kura. Na mkiiba ndo mtajua nguvu ya vijana.
Tumechoka sana. Hata ajira zinatolewa kwa kujuana tu
CCM ni hatari kwa watanzania.
 
CCM msijipe matumaini ya kushinda 2025 hakuna kijana tena msomi anaweza kuwapigia kura. Na mkiiba ndo mtajua nguvu ya vijana.
Tumechoka sana. Hata ajira zinatolewa kwa kujuana tu
Kwa hiyo unaishauri CCM iongeze posho maradufu kwa wasimamizi wa uchaguzi 2025?
 
CCM msijipe matumaini ya kushinda 2025 hakuna kijana tena msomi anaweza kuwapigia kura. Na mkiiba ndo mtajua nguvu ya vijana.
Tumechoka sana. Hata ajira zinatolewa kwa kujuana tu
Sawa tumekubali CCM out 😆😆
 
Vijana hawa mashabiki wa simba na yanga, Diamond na Alikiba ndio uwategemee. Tangu Dunia iumbwe hawajawahi kutokea binadamu wanafiki kama Watanzania.
 
CCM msijipe matumaini ya kushinda 2025 hakuna kijana tena msomi anaweza kuwapigia kura. Na mkiiba ndo mtajua nguvu ya vijana.
Tumechoka sana. Hata ajira zinatolewa kwa kujuana tu
It could be viceversa!
 
Vijana simameni chukueni hatamu, hakuna wa kuwasaidia 2025 toeni majibu sahihi kwa CCM. Jukumu ni lenu.
 
CCM msijipe matumaini ya kushinda 2025 hakuna kijana tena msomi anaweza kuwapigia kura. Na mkiiba ndo mtajua nguvu ya vijana.
Tumechoka sana. Hata ajira zinatolewa kwa kujuana tu

Tanzania opposition has failed the democracy test, study says​

Saturday, March 23, 2024 - 5 min read
tundu
 
Back
Top Bottom