Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Who knows, ni weweKipi hichoo
Hapo sasaUkilinda sanduku la kura sawa
Wishful thinking. Hawa hawa viijana machawa wa CCM na ambao hata haki zao hawazijui ndiyo unasema wataitoa CCM? Hawa vijana ambao CCM ikiwaletea zuchu kwenye kampeni watamwaga kura?CCM msijipe matumaini ya kushinda 2025 hakuna kijana tena msomi anawezq kiwapigia kura. Na mkiiba ndo mtajua nguvu ya vijana. Tumechoka sana. Hata ajira zinatolewa kwa kujuana tu
Eheheheheh..hayaWho knows, ni wewe
CCM msijipe matumaini ya kushinda 2025 hakuna kijana tena msomi anawezq kiwapigia kura. Na mkiiba ndo mtajua nguvu ya vijana. Tumechoka sana. Hata ajira zinatolewa kwa kujuana tu
Umeeandikaš¤š¤š¤hata mimi natumia simu mkuu!, umeeandika huku unafoka tatizo..š
šÆšÆWazee na wanawake kama hawajachoka basi ccm bado IPO sanaWazee ndio huamua matokeo ya uchaguziš¼
Wakajiandikishe sasaCCM msijipe matumaini ya kushinda 2025 hakuna kijana tena msomi anawezq kiwapigia kura. Na mkiiba ndo mtajua nguvu ya vijana. Tumechoka sana. Hata ajira zinatolewa kwa kujuana tu
Ili muendelee na umaskini wenu?Mnajidanganya Sana, tutachagua CCM
Ww unashinda jamii forum Kwanini usiwe masikiniIli muendelee na umaskini wenu?
Typical Hallucinations and delusions of Grandiose proportionsCCM msijipe matumaini ya kushinda 2025 hakuna kijana tena msomi anawezq kiwapigia kura. Na mkiiba ndo mtajua nguvu ya vijana. Tumechoka sana. Hata ajira zinatolewa kwa kujuana tu

StupidTypical Hallucinations and delusions of Grandiose proportions![]()
being stupid (mjinga) is far healthier than hallucinatingStupid