min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Uzuri mmoja napiga vitu nikiwa zangu ndani tu nikitoka hapa najirusha kitandani tu😅😅😅 nikiamka naangalia chakufuta na futa😅Sio mbaya mtani, furahia maisha🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri mmoja napiga vitu nikiwa zangu ndani tu nikitoka hapa najirusha kitandani tu😅😅😅 nikiamka naangalia chakufuta na futa😅Sio mbaya mtani, furahia maisha🤣
Huyo hatakiwi ajue ni mlokole matata sana,labda hawa kina shindikanaaDada yako Makiwendo anaijua hili?
Kwamba shem wangu Makiwendo amekuwa mlokole, hizi taarifa mbona sina🤣Huyo hatakiwi ajue ni mlokole matata sana,labda hawa kina shindikanaa
Ili uwe mbunge unahitaji kujua kusoma na kuandika,siyo kuandika vizuri.🤣 mkuu kwa huo uandishi tutaitoa kweli..?
Inawesekana tu kwa namana yoyote. Mbona ruto alishindaKumshinda aliyeko madarakani si jambo rahisi.
Kwani wee mzungu au mwarabu? Hata wew uarabu/uzungu wako una matatizo.Uafrica wako ni tatizo
Na CCM bado itaendelea kubaki madarakani.TATIZO LA AFYA YA AKILI NI KUBWA MNO TANZANIA.
Huu ni mkwaraCCM msijipe matumaini ya kushinda 2025 hakuna kijana tena msomi anaweza kuwapigia kura. Na mkiiba ndo mtajua nguvu ya vijana.
Tumechoka sana. Hata ajira zinatolewa kwa kujuana tu
Tuende wapi mkuuWatanzania tuamke
Itoke iende wapiWishful thinking. Hawa hawa viijana machawa wa CCM na ambao hata haki zao hawazijui ndiyo unasema wataitoa CCM? Hawa vijana ambao CCM ikiwaletea zuchu kwenye kampeni watamwaga kura?
Hawa vijana ambao wakiona msururu wa magari ya CCM wanafurahi na kukimbilia kuanzisha nyuzi kuwa CCM ni baba lao?
CCM haitoki leo wala kesho.
Labda KenyaVijana hawahawa wa kibongo? Au mmekodi toka sayari ingine?
Kizizi kiziziHivi wasira atakuwa ni billionaire kiasi gani? Maana serikali karibu zote yupo na kundi La majangili wa rasolimali zetu.