- Thread starter
- #41
Are you still learning englishbeing stupid (mjinga) is far healthier than hallucinating![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Are you still learning englishbeing stupid (mjinga) is far healthier than hallucinating![]()
I am not learning, but I'm communicating the English of my taste and style, not impressing any idiotAre you still learning english
You seem to be nincompoopI am not learning, but I'm communicating the English of my taste and style, not impressing any idiot
Kwahiyo vinavyoongozwa na watu kama Mboe ndivyo vinavyosvonda utajili?Thubutu
Vijana gani waliochoka? Hivi uliona uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka jana. Vijana wengi walijiandikisha na wakawapigia CCM kura hata kama ilikuwa ya ndiyo au hapanaCCM msijipe matumaini ya kushinda 2025 hakuna kijana tena msomi anawezq kiwapigia kura. Na mkiiba ndo mtajua nguvu ya vijana. Tumechoka sana. Hata ajira zinatolewa kwa kujuana tu
Endeleeni kujifariji. Stress zinaua. CCM itaendelea kubaki madarakani pamoja na usomi wako, na hao unaowasemea, vijana wasomi!! Na huo ndio uhalisia, upinzani bado sana.CCM msijipe matumaini ya kushinda 2025 hakuna kijana tena msomi anawezq kiwapigia kura. Na mkiiba ndo mtajua nguvu ya vijana. Tumechoka sana. Hata ajira zinatolewa kwa kujuana tu
Umeqndika lugha gani Mkuu?Kwahiyo vinavyoongozwa na watu kama Mboe ndivyo vinavyosvonda utajili?
😀 😀 umekata tamaa wewe halafu usitusemehe sisi wengine tunao kipenda hicho chama hadi unazeeka CCM ipoCCM msijipe matumaini ya kushinda 2025 hakuna kijana tena msomi anawezq kiwapigia kura. Na mkiiba ndo mtajua nguvu ya vijana. Tumechoka sana. Hata ajira zinatolewa kwa kujuana tu
Uafrica wako ni tatizoEndeleeni kujifariji. Stress zinaua. CCM itaendelea kubaki madarakani pamoja na usomi wako, na hao unaowasemea, vijana wasomi!! Na huo ndio uhalisia, upinzani bado sana.
Endeleeni kujifariji. Stress zinaua. CCM itaendelea kubaki madarakani pamoja na usomi wako, na hao unaowasemea, vijana wasomi!! Na huo ndio uhalisia, upinzani bado sana.
Kilichowakatisha tamaa ni kipi?CCM msijipe matumaini ya kushinda 2025 hakuna kijana tena msomi anawezq kiwapigia kura. Na mkiiba ndo mtajua nguvu ya vijana. Tumechoka sana. Hata ajira zinatolewa kwa kujuana tu
Hata wewe siku hizi ukipiga vitu ukaja humu naona tu kabisa huyu mwamba anachat ila anapiga mambo🤣🤣Japo ni kweli ila ukilewa usichati mkuu, uandishi wako master.
Hahaha vitu vinafanya unaropoka hata yale usiyopenda yafahamike humu mtani😁😁😁Hata wewe siku hizi ukipiga vitu ukaja humu naona tu kabisa huyu mwamba anachat ila anapiga mambo🤣🤣
Kumshinda aliyeko madarakani si jambo rahisi.CCM msijipe matumaini ya kushinda 2025 hakuna kijana tena msomi anawezq kiwapigia kura. Na mkiiba ndo mtajua nguvu ya vijana. Tumechoka sana. Hata ajira zinatolewa kwa kujuana tu
Sio mbaya mtani, furahia maisha🤣Hahaha vitu vinafanya unaropoka hata yale usiyopenda yafahamike humu mtani😁😁😁
Gentleman,CCM msijipe matumaini ya kushinda 2025 hakuna kijana tena msomi anawezq kiwapigia kura. Na mkiiba ndo mtajua nguvu ya vijana. Tumechoka sana. Hata ajira zinatolewa kwa kujuana tu