Pre GE2025 2025 Je, Watanzania wanahitaji Rais wa aina gani?

Pre GE2025 2025 Je, Watanzania wanahitaji Rais wa aina gani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Kumekuwa na nadharia nyingi sana kuelekea 2025 ndani ya chama 5 tena, kitaifa katiba ibadilishwe kuwe na tume huru ya uchaguzi tupate mtu kutoka nje ya mfumo wa CCM.

Nimekuwa nikizungumza na watu tofauti nakupata nini wanakiwaza kuanzia mam ntilie mpaka mtu wa juu kabisa kimaisha.

Niukweli usiopingika yakuwa wakati chama na chawa wengine tunatumia all resources we have pamoja ushawishi kwa jamii kusema miaka mitano tena watanzania ndani ya mioyo wana mawazo yao binafsi na sio haya tunayaweka kwenye vichwa vyao.

Mbaya zaidi kwa sababu wa Tz ndio wataalamu waunafiki dunia wote wamekuwa sehem ya nyimbo mitano tena ila moyoni wanamawazo tofauti.

Naomba wale wote tunapenda uongozi wa mwanamke au tungetamani kuona hilo likitokea kupitia uzi huu basi msinipige mawe au kukasirika ila chukueni kimtazamo chanya kwa kuboresha pale panaitaji uboreshaji na sio vinginenvyo.

Awali ya yote jambo nimeligunduwa kwa watu wengi na ningeomba usije niambia toa uthibitisho naimani kama kuna team ya siri undeni mchunguze sio kwa uchawa kwa kutaka ukweli mtakuja niambia.

Nikuweli mchungu kwa namna yeyote ile watanzania bado hawajawa na mtazamo chanya kuongozwa na jinsia nyingine ukiacha ile waliizoea tangu uhuru. Watanzania wengi bado wanatamani kuona Me akiwa kiongozi wakitaifa.

Watanzania pamoja na yote yamefanyika chini ya serikali ya sita ila bado hawana raha na wanafanya unafiki aka kupata mkate wao wakila siku ila moyoni wapo mbali sana na hawaja ielewa serikali ya sita sera zake. Una 3R ila bado wanaona yale waliyasahau hili tu ni doa.

Chama kitaweka mgombea Me na kikawa na ushawishi mzuri vs chama kitaweka ke na kikawa na ushawishi zaidi ya chama upinzania chama chenye me kinaweza fanya vizuri zaidi kuliko chama chenye mamlaka. Maana yake ni nini? Bado kama Taifa tuna safari ndefu kumuweka ke ktk nafasi kubwa ya kitaifa.

Chama kinaweza kutumia nguvu na ushawishi mpitisha ke ila dalili zinaonyesha 👋 tena itakuwa mizito sana mizito sana mgombea anaweza omba dunia isimame ashuke ila haitowezekana na kutokana na hiyo misukosuko inaweza leta shida kwa chama.

Hali ilivyo sasa sivyo itakavyo kuwa pindi jina litakuja ke kwa sasa watanzania wanauvumilivu wakiamini taifa lilikuwa kwa msiba na 2025 kutakuwa na badiliko ktk watu wengi nilio zungumza nao wanaonyesha kuwa na subira ila sio kwamba wanataka 👋 hata wandani hakunaga wanafiki.

Gharama za kampeni chini ya ke zitakuwa kubwa sana na bado hata kwa goli la mkono kazi itakuwa nzito..
Tutakapo toka kwa uchaguzi badala ya kuongoza From day one ndani ya chama tawala yatazuka makundi mazito kwa uchaguz wa 2030 nadhani haya yatamvuruga mwenyekiti yataleta wizi na kila aina ya shida kwa taifa na chama waweza jouliza why na ndio maana tunasema haya..

Wapo wazee na wakongwe ndani ya chama walisha yaona haya tangu siku JPM alipo lala na hata sasa yanatimia na kuzidi timia ndio maana mstaafu mmoja akasema ukitaka Nchi itulie zungumza na wazee nje ya box ushauri wa wazee tulipata msiba 👋 nihatari kwa chama kule kitaluni mgawanyiko utakuwa mkubwa sana hatutoweza tuliza kama tulivyo tuliza kipindi kile. Kwanini wa Tz wanafiki machoni kama watu moyoni hawana utu.

Siasa za dunia hazipo upande wa ke kungekuwa na nafuu kubwa kama USA ke angechukua nchi ila kwa sasa ni giza nene sana.

Haya ni mawazo ya watu pasipo weka majina na sio lazima kuyaamini unaweza soma nakuacha hapa kwa wakati mwafaka. Japo sio mbaya wazee wavishikio wakafanya check list kuthibitisha maelezo yangu.
 
2025 waTanzania wameshaamua tayari, wanamuhitaj tu, Dr.Samia Suluhu Hassan, Rais, mchapakazi hodari, kipenzi na tumaini la waTanzania wote,

mwenye nia thabiti na dhamira njema na madhubuti ya kuwaletea wanainchi waTanzania maendeleo endelevu ya kijamii, kisiasa, kiuchumi kitaifa na kimatafa kwa hakika zaidi, kasi zaidi na kwa viwango tajika.🐒

Mungu Ibariki Tanzania 🌹
 
Tunamuhitaji Rais aina ya Trump,

1. Mchamungu,

2. Mchapakazi.

3. Mwenye mentality ya kitajiri.

4. Mlinzi wa Raslimali za umma.

5. Mzalendo.

6. Mwenye misimamo isiyoyumba, Mwanaume Hasa,asiyeyumba ktk maono mema ya Taifa .

7. Muumini wa DEMOKRASIA yenye mipaka sawa sawa na mapenzi ya Mungu.

8. Mpinga mifumo ya kishetani(USHOGA, utoaji mimba, GMO, kubadili jinsia, Drugs, nk nk)

Na mtu huyo Si mwingine, Bali ni Mlawi( Yehu).
 
Kwa Sasa Tanzania Ina ombwe na la uongozi

So tunatakiwa kupata Rais ambaye ataleta na kubadilisha mifumo ya uwajibikaji

Katiba, mihimili yote kujisimamia

Polisi na Tiss kufuata sheria za nchi na utawala Bora kufanya majukumu yao mama ambayo ni kulinda raia na usalama wa nchi

Kuwafinya Viongozi wote wanaopinga mabadiliko ya kweli ya Taifa

Mabadiliko Yana cost hivyo tunahitaji Rais hasiye muoga!!.
 
Kumekuwa na nadharia nyingi sana kuelekea 2025 ndani ya chama 5 tena, kitaifa katiba ibadilishwe kuwe na tume huru ya uchaguzi tupate mtu kutoka nje ya mfumo wa CCM.

Nimekuwa nikizungumza na watu tofauti nakupata nini wanakiwaza kuanzia mam ntilie mpaka mtu wa juu kabisa kimaisha.

Niukweli usiopingika yakuwa wakati chama na chawa wengine tunatumia all resources we have pamoja ushawishi kwa jamii kusema miaka mitano tena watanzania ndani ya mioyo wana mawazo yao binafsi na sio haya tunayaweka kwenye vichwa vyao.

Mbaya zaidi kwa sababu wa Tz ndio wataalamu waunafiki dunia wote wamekuwa sehem ya nyimbo mitano tena ila moyoni wanamawazo tofauti.

Naomba wale wote tunapenda uongozi wa mwanamke au tungetamani kuona hilo likitokea kupitia uzi huu basi msinipige mawe au kukasirika ila chukueni kimtazamo chanya kwa kuboresha pale panaitaji uboreshaji na sio vinginenvyo.

Awali ya yote jambo nimeligunduwa kwa watu wengi na ningeomba usije niambia toa uthibitisho naimani kama kuna team ya siri undeni mchunguze sio kwa uchawa kwa kutaka ukweli mtakuja niambia.

Nikuweli mchungu kwa namna yeyote ile watanzania bado hawajawa na mtazamo chanya kuongozwa na jinsia nyingine ukiacha ile waliizoea tangu uhuru. Watanzania wengi bado wanatamani kuona Me akiwa kiongozi wakitaifa.

Watanzania pamoja na yote yamefanyika chini ya serikali ya sita ila bado hawana raha na wanafanya unafiki aka kupata mkate wao wakila siku ila moyoni wapo mbali sana na hawaja ielewa serikali ya sita sera zake. Una 3R ila bado wanaona yale waliyasahau hili tu ni doa.

Chama kitaweka mgombea Me na kikawa na ushawishi mzuri vs chama kitaweka ke na kikawa na ushawishi zaidi ya chama upinzania chama chenye me kinaweza fanya vizuri zaidi kuliko chama chenye mamlaka. Maana yake ni nini? Bado kama Taifa tuna safari ndefu kumuweka ke ktk nafasi kubwa ya kitaifa.

Chama kinaweza kutumia nguvu na ushawishi mpitisha ke ila dalili zinaonyesha 👋 tena itakuwa mizito sana mizito sana mgombea anaweza omba dunia isimame ashuke ila haitowezekana na kutokana na hiyo misukosuko inaweza leta shida kwa chama.

Siasa za dunia hazipo upande wa ke kungekuwa na nafuu kubwa kama USA ke angechukua nchi ila kwa sasa ni giza nene sana.

Haya ni mawazo ya watu pasipo weka majina na sio lazima kuyaamini unaweza soma nakuacha hapa kwa wakati mwafaka.
Wafuasi wa jiwe mnapata tabu,

Tupo na Samia hadi 2035 inshallah
 
Tunamuhitaji Rais aina ya Trump,

1. Mchamungu,

2. Mchapakazi.

3. Mwenye mentality ya kitajiri.

4. Mlinzi wa Raslimali za umma.

5. Mzalendo.

6. Mwenye misimamo isiyoyumba, Mwanaume Hasa,asiyeyumba ktk maono mema ya Taifa .

7. Muumini wa DEMOKRASIA yenye mipaka sawa sawa na mapenzi ya Mungu.

8. Mpinga mifumo ya kishetani(USHOGA, utoaji mimba, GMO, kubadili jinsia, Drugs, nk nk)

Na mtu huyo Si mwingine, Bali ni Mlawi( Yehu).
True say
 
2025 waTanzania wameshaamua tayari, wanamuhitaj tu, Dr.Samia Suluhu Hassan, Rais, mchapakazi hodari, kipenzi na tumaini la waTanzania wote,

mwenye nia thabiti na dhamira njema na madhubuti ya kuwaletea wanainchi waTanzania maendeleo endelevu ya kijamii, kisiasa, kiuchumi kitaifa na kimatafa kwa hakika zaidi, kasi zaidi na kwa viwango tajika.
 
Kumekuwa na nadharia nyingi sana kuelekea 2025 ndani ya chama 5 tena, kitaifa katiba ibadilishwe kuwe na tume huru ya uchaguzi tupate mtu kutoka nje ya mfumo wa CCM.

Nimekuwa nikizungumza na watu tofauti nakupata nini wanakiwaza kuanzia mam ntilie mpaka mtu wa juu kabisa kimaisha.

Niukweli usiopingika yakuwa wakati chama na chawa wengine tunatumia all resources we have pamoja ushawishi kwa jamii kusema miaka mitano tena watanzania ndani ya mioyo wana mawazo yao binafsi na sio haya tunayaweka kwenye vichwa vyao.

Mbaya zaidi kwa sababu wa Tz ndio wataalamu waunafiki dunia wote wamekuwa sehem ya nyimbo mitano tena ila moyoni wanamawazo tofauti.

Naomba wale wote tunapenda uongozi wa mwanamke au tungetamani kuona hilo likitokea kupitia uzi huu basi msinipige mawe au kukasirika ila chukueni kimtazamo chanya kwa kuboresha pale panaitaji uboreshaji na sio vinginenvyo.

Awali ya yote jambo nimeligunduwa kwa watu wengi na ningeomba usije niambia toa uthibitisho naimani kama kuna team ya siri undeni mchunguze sio kwa uchawa kwa kutaka ukweli mtakuja niambia.

Nikuweli mchungu kwa namna yeyote ile watanzania bado hawajawa na mtazamo chanya kuongozwa na jinsia nyingine ukiacha ile waliizoea tangu uhuru. Watanzania wengi bado wanatamani kuona Me akiwa kiongozi wakitaifa.

Watanzania pamoja na yote yamefanyika chini ya serikali ya sita ila bado hawana raha na wanafanya unafiki aka kupata mkate wao wakila siku ila moyoni wapo mbali sana na hawaja ielewa serikali ya sita sera zake. Una 3R ila bado wanaona yale waliyasahau hili tu ni doa.

Chama kitaweka mgombea Me na kikawa na ushawishi mzuri vs chama kitaweka ke na kikawa na ushawishi zaidi ya chama upinzania chama chenye me kinaweza fanya vizuri zaidi kuliko chama chenye mamlaka. Maana yake ni nini? Bado kama Taifa tuna safari ndefu kumuweka ke ktk nafasi kubwa ya kitaifa.

Chama kinaweza kutumia nguvu na ushawishi mpitisha ke ila dalili zinaonyesha 👋 tena itakuwa mizito sana mizito sana mgombea anaweza omba dunia isimame ashuke ila haitowezekana na kutokana na hiyo misukosuko inaweza leta shida kwa chama.

Hali ilivyo sasa sivyo itakavyo kuwa pindi jina litakuja ke kwa sasa watanzania wanauvumilivu wakiamini taifa lilikuwa kwa msiba na 2025 kutakuwa na badiliko ktk watu wengi nilio zungumza nao wanaonyesha kuwa na subira ila sio kwamba wanataka 👋 hata wandani hakunaga wanafiki.

Gharama za kampeni chini ya ke zitakuwa kubwa sana na bado hata kwa goli la mkono kazi itakuwa nzito..
Tutakapo toka kwa uchaguzi badala ya kuongoza From day one ndani ya chama tawala yatazuka makundi mazito kwa uchaguz wa 2030 nadhani haya yatamvuruga mwenyekiti yataleta wizi na kila aina ya shida kwa taifa na chama waweza jouliza why na ndio maana tunasema haya..

Siasa za dunia hazipo upande wa ke kungekuwa na nafuu kubwa kama USA ke angechukua nchi ila kwa sasa ni giza nene sana.

Haya ni mawazo ya watu pasipo weka majina na sio lazima kuyaamini unaweza soma nakuacha hapa kwa wakati mwafaka.
Ni Rais Mwanaume kutoka CCM na si vinginevyo.
 
Watanzania wanahitaji raisi anayeweza kuwapandisha Zuchu, Nandy na Maua Sama jukwaa moja. Au Mond, Harmonize na Ali Kiba jukwaa moja.

Sihisi kama tunahitaji vitu serious kwasasa.

Mambo mengine ni blablabla tu.
 
2025 waTanzania wameshaamua tayari, wanamuhitaj tu, Dr.Samia Suluhu Hassan, Rais, mchapakazi hodari, kipenzi na tumaini la waTanzania wote,

mwenye nia thabiti na dhamira njema na madhubuti ya kuwaletea wanainchi waTanzania maendeleo endelevu ya kijamii, kisiasa, kiuchumi kitaifa na kimatafa kwa hakika zaidi, kasi zaidi na kwa viwango tajika.🐒

Mungu Ibariki Tanzania 🌹
2025 RAIS Mwanaume Mkristu Mkatoliki.

Kanda ya ziwa wasukuma wapange foleni Toka asubuhi kwenda kupiga kura eti wampigie Mwanamke 🤣🤣🤣🤣

Mama fungasha virago, kurudi Kizimkazi,umebakiza miezi 10.

2025 Rais Mwanaume Mkristu Mkatoliki 😀😀😀🇹🇿🇹🇿🙏
 
Back
Top Bottom