Tulizoea kuona kila chama kikija na mikakati ya kuboresha maisha ya watanzania, ya kuwatoa mahali walipo na kuwasogeza pahala!
Kwa sasa jambo kubwa kabisa ambalo litakuwa kuanza kuzungumziwa kwenye Kampeni za 2025, itakuwa ni hilo ndipo yafuate mengine,
Hii ni sawa na kusema! Ccm imetuuza tena kwa mwarabu, nchi inahitaji ukombozi wa maeneo yetu
Anayeipinga kusema sisi kwa sasa sio watumwa wa mwarabu abishe hapa kwa hoja,
Inakuwaje baadhi ya maeneo yetu yawe chini ya mwarabu Milele? Huku siyo kuwa chini ya utumwa?
Maana yake 2025 tunahitaji vyama vitakavyoweka mikakati ya kuhakikisha vinakwenda kupambana ili kurudisha nchi yetu mikononi mwetu. Siyo??
Kwa sasa jambo kubwa kabisa ambalo litakuwa kuanza kuzungumziwa kwenye Kampeni za 2025, itakuwa ni hilo ndipo yafuate mengine,
Hii ni sawa na kusema! Ccm imetuuza tena kwa mwarabu, nchi inahitaji ukombozi wa maeneo yetu
Anayeipinga kusema sisi kwa sasa sio watumwa wa mwarabu abishe hapa kwa hoja,
Inakuwaje baadhi ya maeneo yetu yawe chini ya mwarabu Milele? Huku siyo kuwa chini ya utumwa?
Maana yake 2025 tunahitaji vyama vitakavyoweka mikakati ya kuhakikisha vinakwenda kupambana ili kurudisha nchi yetu mikononi mwetu. Siyo??