Mwaka 2025 nimwaka wa wana kusadikika kuamini yakuwa Taifa lao chini ya idara zao bado wanaweza kufanya mambo hayakusadikika ktk masikio ya wana kusadikika.
Project zilianza pale wana elite ndani yakusadikika kumpoteza kipenzi chao. Inasemekana kwa hali ilivyokuwa hapakuwa na njia ilibidi elite wakubaliane na hali na kujifuta vumbi wasonge mbele. Huku wakiangalia makosa yalio jitokeza kuepuka madhara yanaweza kutokea mbeleni kwa kushindwa kwao.
Ikumbukwe team of elite chini ya mwavuli wa ma elite wengine wakubwa duniani walitoa ya moyoni na kuwapa ya sirini. Wakati sisi tunaona mti mmoja wenye matunda wao wanaona mti mmoja wenye matunda ya aina zote 🤔. Wakati elite wa nje wakiweza kutoka na kuingia unknown 🤔
Hili limewaweka ktk mvurugano hasa ukizingatia mmoja ya hawa elite anafanya screen yakila wanaye mtaka ndani yakusadikika.....🤔🤔🤔😭
Ndani ya ma elite wanaenda mbali zaidi nakufanya screen mpaka kwenye kale kataifa Tata Dunia🕊️...
ALAMA ya njiwa ni amani na Tumaini ila ALAMA ya njiwa nialama nzito zaidi ya haya tunayajuwa.....
Project zilianza pale wana elite ndani yakusadikika kumpoteza kipenzi chao. Inasemekana kwa hali ilivyokuwa hapakuwa na njia ilibidi elite wakubaliane na hali na kujifuta vumbi wasonge mbele. Huku wakiangalia makosa yalio jitokeza kuepuka madhara yanaweza kutokea mbeleni kwa kushindwa kwao.
Ikumbukwe team of elite chini ya mwavuli wa ma elite wengine wakubwa duniani walitoa ya moyoni na kuwapa ya sirini. Wakati sisi tunaona mti mmoja wenye matunda wao wanaona mti mmoja wenye matunda ya aina zote 🤔. Wakati elite wa nje wakiweza kutoka na kuingia unknown 🤔
Hili limewaweka ktk mvurugano hasa ukizingatia mmoja ya hawa elite anafanya screen yakila wanaye mtaka ndani yakusadikika.....🤔🤔🤔😭
Ndani ya ma elite wanaenda mbali zaidi nakufanya screen mpaka kwenye kale kataifa Tata Dunia🕊️...
ALAMA ya njiwa ni amani na Tumaini ila ALAMA ya njiwa nialama nzito zaidi ya haya tunayajuwa.....