2025 na Usiku mzito wa maamuzi mazito kwa Jamhuri ya Kusadikika🤔

2025 na Usiku mzito wa maamuzi mazito kwa Jamhuri ya Kusadikika🤔

Porojo tu! Hakuna wa kumzuia Rais na Amiri Jeshi Mkuu. Mungu pekee ndiyo mwenye mamlaka ya kumzuia.

Umesema vyema ila wewe mwenyewe hujajielewa kuwa umesema vyema..

Hakuna anayema binadamu atamzuia maana hakuna mwanadamu wala nguvu za kibinadamu za kumzuia Amiri Jeshi mkuu wako..

Huyu huyu Mungu wa mbingu na nchi ambaye kwa kinywa chako mwenyewe umekiri kuwa ndiye awezaye kumzuia..

Basi ni KWELI na ni AMINA kabisa, kuwa huyu MUNGU WA KWELI NDIYE ATAKAYEMZUIA kupitia kwa wanadamu..!!

Umeelewa sasa?
 
Kavimbiwa kitimoto anakuja kuwachezea akili kujifanya anaijuwa Tiss wakati watu wa idara wenyewe hawajui oparesheni za idara kama siyo kitengo chako.

Hawa ni machawa wa kuteka watu tu na hata hawajui wanafanyakazi chini ya nani na kwa faida gani.
Labda kama humjui huyu jamaa!alitumia jukwaa hili hili kumuonya hayati jpm,Ben saanane na wote hawakusikia na Sasa hawapo!
 
Acha kujidanganya, JPM was just an outsider kiufupi mfumo ulikuwa wa JK na umerudi kwa JK yeye ndio mwenye maamuzi kama SSH aendelee au lah ila sio hao team JPM, walishafutwa vitengo vyote so msijidanganye.

Just move on, ni either muanzishe chama chenu mumtoe au muendelee kulialia kwa miaka mingine 5!!
chawa sugu unapenda kujitutumua kwelikweli
utadhani kuna lolote unalojua
 
Mwaka 2025 nimwaka wa wana kusadikika kuamini yakuwa Taifa lao chini ya idara zao bado wanaweza kufanya mambo hayakusadikika ktk masikio ya wana kusadikika.
Project zilianza pale wana elite ndani yakusadikika kumpoteza kipenzi chao.
Inasemekana kwa hali ilivyokuwa hapakuwa na njia ilibidi elite wakubaliane na hali na kujifuta vumbi wasonge mbele. Huku wakiangalia makosa yalio jitokeza kuepuka madhara yanaweza kutokea mbeleni kwa kushindwa kwao.
Ikumbukwe team of elite chini ya mwavuli wa ma elite wengine wakubwa duniani walitoa ya moyoni na kuwapa ya sirini. Wakati sisi tunaona mti mmoja wenye matunda wao wanaona mti mmoja wenye matunda ya aina zote 🤔. Wakati elite wa nje wakiweza kutoka na kuingia unknown 🤔
Hili limewaweka ktk mvurugano hasa ukizingatia mmoja ya hawa elite anafanya screen yakila wanaye mtaka ndani yakusadikika.....🤔🤔🤔😭
Ndani ya ma elite wanaenda mbali zaidi nakufanya screen mpaka kwenye kale kataifa Tata Dunia🕊️...
ALAMA ya njiwa ni amani na Tumaini ila ALAMA ya njiwa nialama nzito zaidi ya haya tunayajuwa.....
Uandishi huu wa kijinga tulishaacha nao huku JF
Dogo mbona hkui?

We funguka tu JF itakulinda
 
Mwaka 2025 nimwaka wa wana kusadikika kuamini yakuwa Taifa lao chini ya idara zao bado wanaweza kufanya mambo hayakusadikika ktk masikio ya wana kusadikika.
Project zilianza pale wana elite ndani yakusadikika kumpoteza kipenzi chao.
Inasemekana kwa hali ilivyokuwa hapakuwa na njia ilibidi elite wakubaliane na hali na kujifuta vumbi wasonge mbele. Huku wakiangalia makosa yalio jitokeza kuepuka madhara yanaweza kutokea mbeleni kwa kushindwa kwao.
Ikumbukwe team of elite chini ya mwavuli wa ma elite wengine wakubwa duniani walitoa ya moyoni na kuwapa ya sirini. Wakati sisi tunaona mti mmoja wenye matunda wao wanaona mti mmoja wenye matunda ya aina zote 🤔. Wakati elite wa nje wakiweza kutoka na kuingia unknown 🤔
Hili limewaweka ktk mvurugano hasa ukizingatia mmoja ya hawa elite anafanya screen yakila wanaye mtaka ndani yakusadikika.....🤔🤔🤔😭
Ndani ya ma elite wanaenda mbali zaidi nakufanya screen mpaka kwenye kale kataifa Tata Dunia🕊️...
ALAMA ya njiwa ni amani na Tumaini ila ALAMA ya njiwa nialama nzito zaidi ya haya tunayajuwa.....
SAMIA anatosha mpaka mwaka 2030.
 
Acha kujidanganya, JPM was just an outsider kiufupi mfumo ulikuwa wa JK na umerudi kwa JK yeye ndio mwenye maamuzi kama SSH aendelee au lah ila sio hao team JPM, walishafutwa vitengo vyote so msijidanganye.

Just move on, ni either muanzishe chama chenu mumtoe au muendelee kulialia kwa miaka
kaa kimya hujui kitu
 
Siasa za Tanzania ni nyepesi sana na ziko wazi saana labda kama wenzetu mnajichanganya tu kwenye vichwa vyenu na kujitoa ufahamu.

Mama tunae mpaka hiyo 2030 maana wanachoamua CCM ndio maamuzi, wale jamaa ni politics wing ya CCM kazi yao ni kutekeleza wanachoamua mabwanyeye.

Kwenye suala zima la controling, check and balance kwa manufaa ya Taifa hilo halipo baadala yake kila mtu anatafuna fupa.

Hao elites wana nguvu gani yakumzuia mama 2025 ilihali walishindwa kumlinda kipenzi Chao mpaka akang'oka, Hao Elites kazi yao ni nini huku mifumo yote muhimu imepalyrize kitambo, mfumo mbovu wa Elimu, Afya, miundo mbinu, maisha duni ya watu, kukithiri kwa wizi na rushwa nk hivyo vyote toka awamu ya pili mpaka leo ni shida tu, hao Elites wameifanya nini nchi toka huko nyuma kutokomeza hayo.

Naamini mifumo yote iko compromise na chama, imebaki kama political wing ya chama na sio system kwa ajili ya wananchi na kulinda rasirimali.
 
Kavimbiwa kitimoto anakuja kuwachezea akili kujifanya anaijuwa Tiss wakati watu wa idara wenyewe hawajui oparesheni za idara kama siyo kitengo chako.

Hawa ni machawa wa kuteka watu tu na hata hawajui wanafanyakazi chini ya nani na kwa faida gani.
Kama Watu wamemtoa uhai mtu alie pata busu la Ayatollah jioni na ikagundulika inside wapo basi mambo mengine Bora kupita Dunia inaenda kwa kasi sana usije pitiliza kituo kwa hasira wakati njia yakwenda nyumbani unapita vichakani🤐 Kuna mahali neno tis limeandikwa😡?
 
Back
Top Bottom