The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,967
- 4,267
Porojo tu! Hakuna wa kumzuia Rais na Amiri Jeshi Mkuu. Mungu pekee ndiyo mwenye mamlaka ya kumzuia.
Whatever ila watu wa JPM hawana chao tena tusidanganyane mitandaoni. Mama ameshang'oa woteKwahiyo January + Nape wametimuliwa na JK. ??
Team jiweNimetoka kapa.
Labda kama humjui huyu jamaa!alitumia jukwaa hili hili kumuonya hayati jpm,Ben saanane na wote hawakusikia na Sasa hawapo!Kavimbiwa kitimoto anakuja kuwachezea akili kujifanya anaijuwa Tiss wakati watu wa idara wenyewe hawajui oparesheni za idara kama siyo kitengo chako.
Hawa ni machawa wa kuteka watu tu na hata hawajui wanafanyakazi chini ya nani na kwa faida gani.
MnooKitimoto ni kitowewo cha heshima sana.
chawa sugu unapenda kujitutumua kwelikweliAcha kujidanganya, JPM was just an outsider kiufupi mfumo ulikuwa wa JK na umerudi kwa JK yeye ndio mwenye maamuzi kama SSH aendelee au lah ila sio hao team JPM, walishafutwa vitengo vyote so msijidanganye.
Just move on, ni either muanzishe chama chenu mumtoe au muendelee kulialia kwa miaka mingine 5!!
Mfumo ulikuwa wa JK 2015 lakini akashindwa kumptisha mtu wake Membe.Acha kujidanganya, JPM was just an outsider kiufupi mfumo ulikuwa wa JK na umerudi kwa JK
Uandishi huu wa kijinga tulishaacha nao huku JFMwaka 2025 nimwaka wa wana kusadikika kuamini yakuwa Taifa lao chini ya idara zao bado wanaweza kufanya mambo hayakusadikika ktk masikio ya wana kusadikika.
Project zilianza pale wana elite ndani yakusadikika kumpoteza kipenzi chao.
Inasemekana kwa hali ilivyokuwa hapakuwa na njia ilibidi elite wakubaliane na hali na kujifuta vumbi wasonge mbele. Huku wakiangalia makosa yalio jitokeza kuepuka madhara yanaweza kutokea mbeleni kwa kushindwa kwao.
Ikumbukwe team of elite chini ya mwavuli wa ma elite wengine wakubwa duniani walitoa ya moyoni na kuwapa ya sirini. Wakati sisi tunaona mti mmoja wenye matunda wao wanaona mti mmoja wenye matunda ya aina zote š¤. Wakati elite wa nje wakiweza kutoka na kuingia unknown š¤
Hili limewaweka ktk mvurugano hasa ukizingatia mmoja ya hawa elite anafanya screen yakila wanaye mtaka ndani yakusadikika.....š¤š¤š¤š
Ndani ya ma elite wanaenda mbali zaidi nakufanya screen mpaka kwenye kale kataifa Tata Duniašļø...
ALAMA ya njiwa ni amani na Tumaini ila ALAMA ya njiwa nialama nzito zaidi ya haya tunayajuwa.....
Wanapenda sana ubabe hao ndigu...Mimi nilimpemda JPM ila wapambe wake wamenifanya hata ule upendo Kwa JPM upungueWhatever ila watu wa JPM hawana chao tena tusidanganyane mitandaoni. Mama ameshang'oa wote
SAMIA anatosha mpaka mwaka 2030.Mwaka 2025 nimwaka wa wana kusadikika kuamini yakuwa Taifa lao chini ya idara zao bado wanaweza kufanya mambo hayakusadikika ktk masikio ya wana kusadikika.
Project zilianza pale wana elite ndani yakusadikika kumpoteza kipenzi chao.
Inasemekana kwa hali ilivyokuwa hapakuwa na njia ilibidi elite wakubaliane na hali na kujifuta vumbi wasonge mbele. Huku wakiangalia makosa yalio jitokeza kuepuka madhara yanaweza kutokea mbeleni kwa kushindwa kwao.
Ikumbukwe team of elite chini ya mwavuli wa ma elite wengine wakubwa duniani walitoa ya moyoni na kuwapa ya sirini. Wakati sisi tunaona mti mmoja wenye matunda wao wanaona mti mmoja wenye matunda ya aina zote š¤. Wakati elite wa nje wakiweza kutoka na kuingia unknown š¤
Hili limewaweka ktk mvurugano hasa ukizingatia mmoja ya hawa elite anafanya screen yakila wanaye mtaka ndani yakusadikika.....š¤š¤š¤š
Ndani ya ma elite wanaenda mbali zaidi nakufanya screen mpaka kwenye kale kataifa Tata Duniašļø...
ALAMA ya njiwa ni amani na Tumaini ila ALAMA ya njiwa nialama nzito zaidi ya haya tunayajuwa.....
kaa kimya hujui kituAcha kujidanganya, JPM was just an outsider kiufupi mfumo ulikuwa wa JK na umerudi kwa JK yeye ndio mwenye maamuzi kama SSH aendelee au lah ila sio hao team JPM, walishafutwa vitengo vyote so msijidanganye.
Just move on, ni either muanzishe chama chenu mumtoe au muendelee kulialia kwa miaka
Kama Watu wamemtoa uhai mtu alie pata busu la Ayatollah jioni na ikagundulika inside wapo basi mambo mengine Bora kupita Dunia inaenda kwa kasi sana usije pitiliza kituo kwa hasira wakati njia yakwenda nyumbani unapita vichakaniš¤ Kuna mahali neno tis limeandikwaš”?Kavimbiwa kitimoto anakuja kuwachezea akili kujifanya anaijuwa Tiss wakati watu wa idara wenyewe hawajui oparesheni za idara kama siyo kitengo chako.
Hawa ni machawa wa kuteka watu tu na hata hawajui wanafanyakazi chini ya nani na kwa faida gani.
ALAMA ya njiwa ni ALAMA ya amani ila ina maana nyingi zaidiš¤Ujinga mtupu.
ALAMA ya njiwa ni ALAMA ya amani ila ALAMA ya njiwa ina maana zaidiWewe bado hujawehuka vizuri ipo siku utatueleza Ben Saanane mlimpeleka wapi maana maboss zako wote walishaputukika.
Wana wajamuhuri yakusadikika watakuwa wamelala japo jamuhuri yao itakuwa haijalala kama ilivyobkawaida magazeti ndio yata waamsha na mitandao"2025 na usiku mzito wa maamuzi mazito Kwa jamhuri ya kusadikika".
Kwanini maamuzi mengi mazito hufanyika usiku?
Tusubiri.