2025 na Usiku mzito wa maamuzi mazito kwa Jamhuri ya Kusadikika🤔

"inasemekana kwa hali ilivyokuwa hapakuwa na njia ilibidi elite wakubaliane na hali na kujifuta vumbi wasonge mbele. Huku wakiangalia makosa yalio jitokeza kuepuka madhara yanaweza kutokea mbeleni kwa kushindwa kwao"
 
Hatareeee
 
Tiss unaifahamu inavyofanyakazi?

Kama system ni ya Kikwete ilikuwaje ashindwe kumuweka mtu wake Membe 2015 nijibu by fact!!
 
Hakushindwa ila wote tuliona upepo wa Lowassa ulivyokua mzito, angemweka Membe chama kingepasuka so ikabidi awake mtu neutral kuepuka mpasuko zaidi.
Hakuna mpasuko wala nini. Mm zamani nilikua nawaza kama wewe nikagundua nilikua mjinga

Bongo Rais na mwenyekiti ndio ana nguvu Kuliko yoyote, huko ccm hakuna mwenye nguvu nje ya ccm. Ndio maana hata sasa wote wameufyata kwa mama anaupiga mwingi
 
Tatizo ni kwamba elite na jamii zake huwa hawakubali kushindwa na wana mbinu nyingi za medani

ila sasa screen huko zinaonesha chenga chenga mara chanel zinashika zinapotea tena na mtaalam wa kuset dish yupo juu kwenye paa anahangaika kuzungusha dish ili asikie kama ndani atasikia sauti ya Tv channel hata moja kama inaongea ili ashuke lakini naona kama sauti ya tv ni ndogo hivyo hasikii huko paani na ameita kama kuna watu wapo ndani awaulize hapoooooo! Lakini wapi

sasa naona anataka ashuke mwenyewe chini aende akaongeze sauti ya Tv hadi mwisho ili awe anasikia mwenyewe kutoka ndani kama kuna channel itashika na kuonesha vizuri.
 
Usidanganyike na hukijui chama vizuri ingawa naungana na wewe ila yawezekana wewe ni mwanacha ambaye hata vikao vikuu vya chama hushiriki.
Wewe pia usitake kudanganya, Hakuna mwenye nguvu Kuliko mwenyekiti wa chama na raisi, ndio maana hata sasa wote wameufyata wanaimba mama anaupiga mwingi
 
Hakika usiku wa kumpata Mgombea Urais Mwanaume kutoka CCM!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…