Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
- Thread starter
- #101
usijali kiongozi nshajiapiza mbele ya kiongozi wa imani yangu, treni limewqka hili no wei back
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujiapiza jambo moja,na kuhakikisha utekelezaji jambo lingineusijali kiongozi nshajiapiza mbele ya kiongozi wa imani yangu, treni limewqka hili no wei back
Haaahaa 😅January hii kupata mdhamini shughuli 😃
Mm mwenyewe 2025 pombe basiKuanzia hii njanuari ni kahawa, majani ya chai na maziwa.
Au kuna mbaya wajameni? - Alisikika mtu mmoja.
Karibu sana. Sasa hivi nimetoka kumalizia kikombe changu cha kahawa safi!Kuanzia hii njanuari ni kahawa, majani ya chai na maziwa.
Au kuna mbaya wajameni? - Alisikika mtu mmoja.
Anza na hii. Halafu uje kunishukuru baadaye.Kuanzia hii njanuari ni kahawa, majani ya chai na maziwa.
Au kuna mbaya wajameni? - Alisikika mtu mmoja.
asante mkuu, inapatikana wapi hiiAnza na hii. Halafu uje kunishukuru baadaye.
View attachment 3190331
🤝🤝Mm mwenyewe 2025 pombe basi
Nilitapika usiku kucha,hadi nikahis nimewekewa kituUlijinyea nini mkuu...
Kuna watu wana na ni jamaa zangu sana.ila kwa ulevi niliwakimbia kitambo.Mimi tarehe 26 dec zilinifanya vibaya,nazan ndo nimeachana nazo hvyo na marafik nao nataka nisiwe nao
Ni kama Condom iliyokwisha tumikaVipi kuhusu oldyear resolution?
weka nia mkuu mambo yatakuwa sawaKuna watu wana na ni jamaa zangu sana.ila kwa ulevi niliwakimbia kitambo.
Ila bado nikiwa mwenyewe nakunywa sana sipendi hii kitu. Nikisema nimeacha nitadanganya. Naendelea kuomba Mungu aniteer huku.
Najua mmoja ni member humu...mtanisamehe...nimeona marafiki na urafiki wa pombe sio watu.
Yaani ni ungese mkubwa sana. Yaani hata msingi nashindwa kuweka, pum.bavu
Endelea kuchukua ushauri wa kijinga kama huu tutaona kama utamaliza Februari bila kurudi kundini.safi sana...pombe ni mahususi kwa walio na mtindio kimawazo
walevi ni kundi la wapumbavu
wewe nadhani kama mimi, sitaki tena kuzisikiaMimi tarehe 26 dec zilinifanya vibaya,nazan ndo nimeachana nazo hvyo na marafik nao nataka nisiwe nao
Hizi utazipata Supermarket na bei yake imechangamka- ila ladha yake ni nzuri. Za kwetu kule Kilimamanjaro bei imepoa.asante mkuu, inapatikana wapi hii
asante kiongoziHizi utazipata Supermarket na bei yake imechangamka- ila ladha yake ni nzuri. Za kwetu kule Kilimamanjaro bei imepoa.
🤯Khaa huaminiki mkuuKama nilisema naacha pombe nisameeni waungwana gari limepona kumbe ilikua ni mateso ya hangover
umebadili gia angani🤣Kama nilisema naacha pombe nisameeni waungwana gari limepona kumbe ilikua ni mateso ya hangover