He ha pombe bhana🤯Khaa huaminiki mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
He ha pombe bhana🤯Khaa huaminiki mkuu
Mwisho leo USIKUKuanzia hii njanuari ni kahawa, majani ya chai na maziwa.
Au kuna mbaya wajameni? - Alisikika mtu mmoja.
🤣🤣🤣Mimi tarehe 26 dec zilinifanya vibaya,nazan ndo nimeachana nazo hvyo na marafik nao nataka nisiwe nao
Wacha tu Mkuu bora nirudi kwenye kitumbuwa tu ....mululu ni MajangaPombe zinatesa sana wakuu kama sisi wengine tukinywa ni kujuta tu namuomba sana MUNGU anipe njia ya kutoka katika hii hali
Ngaramtoni ya juu kule Olmotonyi ndanindaniIko wapi hii
🤣🤣🤣Endelea kuchukua ushauri wa kijinga kama huu tutaona kama utamaliza Februari bila kurudi kundini.
Mimi tangia jana ....hapa ni majanga nimekula mpaka tiketi sijuwi ntasafiri na ungo🤣🤣🤣 .Sawa, na mimi najiunga rasmi na hii kampeni ya kuacha pombe kuanzia leo!
January 1 2025 nimetimiza mwaka mmoja bila kunywa pombe.Kuanzia hii njanuari ni kahawa, majani ya chai na maziwa.
Au kuna mbaya wajameni? - Alisikika mtu mmoja.
Hongera Mkuu tupe MBINUJanuary 1 2025 nimetimiza mwaka mmoja bila kunywa pombe.
Sasa naanza mwaka wa pili.
Mimi ni mbishi sana tu nina kiburi sana cha kusema pombe hainitawali, mimi ndiye naitawala pombe, na nikiamua kuacha naacha.Hongera Mkuu tupe MBINU
Mkuu tujitahidi tupambane tungi siyo kabisa!Mimi tangia jana ....hapa ni majanga nimekula mpaka tiketi sijuwi ntasafiri na ungo🤣🤣🤣 .
safi kiongozi 🤝👏January 1 2025 nimetimiza mwaka mmoja bila kunywa pombe.
Sasa naanza mwaka wa pili.
😂😂😂 mimi sio huyo mkuu🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿Ikawaje ukashindwa kunyoosha maelezo😅View attachment 3189950