2025 Tanzania tunatakiwa kufanya uamuzi wa busara sana

2025 Tanzania tunatakiwa kufanya uamuzi wa busara sana

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
Kuna mambo mengi sana yanahitaji wazalendo pekee kuipeleka hii nchi hatua inayostahili. Ninamuomba Mungu awasaidie Watanzania kutambua hili na mwaka 2025 watumie uwezo wao wote wa akili, hekima na busara kufanya maamuzi yatakayoleta maendeleo katika hili taifa.

Ukisikiliza bunge, ukiona yanayoendelea kwenye maofisi, utakubaliana na hili. Mungu ibariki Tanzania.
 
kama umemsikiliza estha bulaya, na uhalisia wa mambo yanavyoendelea kwenye ofisi za umma, namshauri mama akaze kamba, kabla ya kukumbuka shuke kukiwa kumekucha. watanznaia ile hofu imeshapotea, wanaweza kufanya lolote, na MUngu saidia wafanye lolote kwenye box la kura lakini.
 
kama umemsikiliza estha bulaya, na uhalisia wa mambo yanavyoendelea kwenye ofisi za umma, namshauri mama akaze kamba, kabla ya kukumbuka shuke kukiwa kumekucha. watanznaia ile hofu imeshapotea, wanaweza kufanya lolote, na MUngu saidia wafanye lolote kwenye box la kura lakini.
 

Attachments

  • D2ACC809-A221-46D8-94A1-69B6F507C2FE.jpeg
    D2ACC809-A221-46D8-94A1-69B6F507C2FE.jpeg
    66.1 KB · Views: 2
Kuna mambo mengi sana yanahitaji wazalendo pekee kuipeleka hii nchi hatua inayostahili. Ninamuomba Mungu awasaidie Watanzania kutambua hili na mwaka 2025 watumie uwezo wao wote wa akili, hekima na busara kufanya maamuzi yatakayoleta maendeleo katika hili taifa.

Ukisikiliza bunge, ukiona yanayoendelea kwenye maofisi, utakubaliana na hili. Mungu ibariki Tanzania.

Mkuu unaambiwa hilo ndio bunge lilichaguliwa na mtu aliyeshurutisha kuonekana mzalendo. Tulitegemea waonyesha huo uzalendo kwasababu waliaminika na SI unit ya uzalendo hapa Tanzania. Hata hivyo hizo njia zako za kufanya mabadiliko, ondoa njia ya kura akilini mwako. Pendekeza njia nyingine, sio hiyo ya kura.
 
ifika mahali watanzania tuamke, tuhitaji nchi inayowajibisha wezi, wazembe na watu wasio wazalendo watupishe.
 
Watanzania kutambua hili na mwaka 2025 watumie uwezo wao wote wa akili, hekima na busara kufanya maamuzi
Watanzania wepi hao? Hawa hawa wanaoshinda mitandaoni kushadadia connection, stori za udaku za Mange Kimambi na habari za Simba na Yanga?
 
Wahe nawasalimu wote kwa JMT.
Naomba kutoa taarifa kuhusu posho ya Semina ya Maliasili na Utalii iliyofanyika tar 29/5. kwa wale ambao mpaka sasa hawajachukua posho zao, Wizara imefanya utaratibu wa kuwaingizia kwenye Akaunt zao. Slip zitawasilishwa kwa wahusika.
 
Wahe nawasalimu wote kwa JMT.
Naomba kutoa taarifa kuhusu posho ya Semina ya Maliasili na Utalii iliyofanyika tar 29/5. kwa wale ambao mpaka sasa hawajachukua posho zao, Wizara imefanya utaratibu wa kuwaingizia kwenye Akaunt zao. Slip zitawasilishwa kwa wahusika.
Ni masemina tu ya ulaji. Pumbafu zao..hakika tutamkumbuka.
 
kama umemsikiliza estha bulaya, na uhalisia wa mambo yanavyoendelea kwenye ofisi za umma, namshauri mama akaze kamba, kabla ya kukumbuka shuke kukiwa kumekucha. watanznaia ile hofu imeshapotea, wanaweza kufanya lolote, na MUngu saidia wafanye lolote kwenye box la kura lakini.
Si huwa wanasema wanatambua kazi nzuri ya mama sasa mimi najuuliza hiyo kazi ni ipi
 
Samia ndo kaharibu bunge? Acheni kujitoa upofu, mwendazake ndo aliharibu nchi kwa kunajisi uchaguzi hatimae tukapata wabunge wa ovyo.. kwahiyo ni muda wa payoff.

Sidhani kama tungekuwa na Bunge kama la 2010-2020, huu upuuzi ungeendelea. Manadiliko ya kweli siku zote yanaanzia kwneye bunge la jamhuri, huko kwingine ni mbwembwe.

Hivyo Mama uongozi anaujua sema anahitaji bunge makini lenye vichwa kama John Mnyika, Zitto kabwe, Tundu lissu, Mkosamali, Kafulila etc
 
Mkuu unaambiwa hilo ndio bunge lilichaguliwa na mtu aliyeshurutisha kuonekana mzalendo. Tulitegemea waonyesha huo uzalendo kwasababu waliaminika na SI unit ya uzalendo hapa Tanzania. Hata hivyo hizo njia zako za kufanya mabadiliko, ondoa njia ya kura akilini mwako. Pendekeza njia nyingine, sio hiyo ya kura.
Watu mazombi kama wewe ndio wanaotuchelewesha.
 
Samia ndo kaharibu bunge? Acheni kujitoa upofu, mwendazake ndo aliharibu nchi kwa kunajisi uchaguzi hatimae tukapata wabunge wa ovyo.. kwahiyo ni muda wa payoff.

Sidhani kama tungekuwa na Bunge kama la 2010-2020, huu upuuzi ungeendelea. Manadiliko ya kweli siku zote yanaanzia kwneye bunge la jamhuri, huko kwingine ni mbwembwe.

Hivyo Mama uongozi anaujua sema anahitaji bunge makini lenye vichwa kama John Mnyika, Zitto kabwe, Tundu lissu, Mkosamali, Kafulila etc
Mjinga mkubwa wewe,bunge lina mamlaka makubwa kuliko rais?, watu mazombi kama ninyi sijui Mlizaliwa kwa kutumia tundu gn?. Yaani kila jambo huwezi kulitizama kwa jicho la ukweli.!!??.
 
Back
Top Bottom