ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
Uamuzi sahihi 2025 ni kumkataa Saa100 kwa asilimia 100.
Hata ukimkataa, hakuna mbadala kwa sasa. Muhimu kupigania katiba mpya na chama kipya cha siasa kitakachowakilisha wananchi wa Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uamuzi sahihi 2025 ni kumkataa Saa100 kwa asilimia 100.
Hama nchiKuna mambo mengi sana yanahitaji wazalendo pekee kuipeleka hii nchi hatua inayostahili. Ninamuomba Mungu awasaidie Watanzania kutambua hili na mwaka 2025 watumie uwezo wao wote wa akili, hekima na busara kufanya maamuzi yatakayoleta maendeleo katika hili taifa.
Ukisikiliza bunge, ukiona yanayoendelea kwenye maofisi, utakubaliana na hili. Mungu ibariki Tanzania.
Hama nchi jinga wwMjinga mkubwa wewe,bunge lina mamlaka makubwa kuliko rais?, watu mazombi kama ninyi sijui Mlizaliwa kwa kutumia tundu gn?. Yaani kila jambo huwezi kulitizama kwa jicho la ukweli.!!??.
Kweli kabisa tumechoka na CCM sasa ni zamu ya Chadema.Kuna mambo mengi sana yanahitaji wazalendo pekee kuipeleka hii nchi hatua inayostahili. Ninamuomba Mungu awasaidie Watanzania kutambua hili na mwaka 2025 watumie uwezo wao wote wa akili, hekima na busara kufanya maamuzi yatakayoleta maendeleo katika hili taifa.
Ukisikiliza bunge, ukiona yanayoendelea kwenye maofisi, utakubaliana na hili. Mungu ibariki Tanzania.
Ficha upumbavu wako hanithi weweSamia ndo kaharibu bunge? Acheni kujitoa upofu, mwendazake ndo aliharibu nchi kwa kunajisi uchaguzi hatimae tukapata wabunge wa ovyo.. kwahiyo ni muda wa payoff.
Sidhani kama tungekuwa na Bunge kama la 2010-2020, huu upuuzi ungeendelea. Manadiliko ya kweli siku zote yanaanzia kwneye bunge la jamhuri, huko kwingine ni mbwembwe.
Hivyo Mama uongozi anaujua sema anahitaji bunge makini lenye vichwa kama John Mnyika, Zitto kabwe, Tundu lissu, Mkosamali, Kafulila etc
wewe unawaza kwa kutumia mattako, hii ni nchi yangu, ni hame niende wapi? kwani wewe ndio mmiliki wa hii nchi peke yako? unaongea nini?Hama nchi
Siyo watanzania hawakama umemsikiliza estha bulaya, na uhalisia wa mambo yanavyoendelea kwenye ofisi za umma, namshauri mama akaze kamba, kabla ya kukumbuka shuke kukiwa kumekucha. watanznaia ile hofu imeshapotea, wanaweza kufanya lolote, na MUngu saidia wafanye lolote kwenye box la kura lakini.
We sio raiawewe unawaza kwa kutumia mattako, hii ni nchi yangu, ni hame niende wapi? kwani wewe ndio mmiliki wa hii nchi peke yako? unaongea nini?