Huyo kijana January makamba jina lake lina kelele hasa kule kwenye wizara ya nishati na report ya CAG ameacha majonzi makubwa wazee kwa vijana wanamwandama Sana hawataki kumsikia wizara ya nishati iliyumba hadi mama aliposema hapana nakupenda lakini hapa toka njoo huku! n.k kijana huyo wananchi hawataki kumsikia kabisa labda chawa wake Tu shida ndiyo hiyo!Huyo hafai hata kuwa waziri, achilia mbali urais!
πΉπΉπΉ Innocent km jina lakeBashungwa anaweza kuwa mwadilifu ila hafai kuwa rais bora ya huyu maza mara 100, kwanza ni mwanaume asie na sauti kwa mkewe na mkewe ana asili ya Rwanda kwa karibu tegemeeni nchi kuliwa mkose hata kandambili
Hafai hafai urais unataka jitu lisilotishikq bora hata makondaπΉπΉπΉ Innocent km jina lake
Mke mwenyewe alimtongoza kwa ki-meme hotelini kwa kumpasia muhudumu
Wohiii huyo ndio balaa hapanaaaaaaa (in mkojani voice) πΉπΉπΉHafai hafai urais unataka jitu lisilotishikq bora hata makonda
Bora huyo kuliko InnoWohiii huyo ndio balaa hapanaaaaaaa (in mkojani voice) πΉπΉπΉ
Inno sektarieti ya JF tushamkata mpole, nchi apewe January Makamba aimalizie iishe kabisaaa πΉπΉπΉπΉBora huyo kuliko Inno
Lamomy acha kweli au masikhara unaleta ππΉπΉπΉ Innocent km jina lake
Mke mwenyewe alimtongoza kwa ki-meme hotelini kwa kumpasia muhudumu
πShauri yako πΉπΉπΉ
Mama Alaska alisoma meme kwa jicho la tatu, akaona future mbele akachana kimeme akajiweka.!!
Shida ni mwizi sana na anaupendeleo na ni mlipa visasi.HatufaiYote heri, kwangu January Makamba ndie mwanadiplomasia anaefaa kuuvaa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taifa linahitaji mabadiliko ya kimkakati, hasa ule wa ushirikiano wenye tija baina ya mataifa sambamba na uwekezaji makini kutoka nje.
Tuendelee na hii πΉπΉπΉπ
Alafu no ambayo iko hewani ni hii kwasasa sio ile nyingine sikupati π
Maana ile nyingine sahv kama not richaaaaabo hiiiiiviiii ππTuendelee na hii πΉπΉπΉ
Unavyopenda upuuzi sasa
Hii ndio unyama bana, ile nitakuwa naicheck siku moja moja πΉπΉπΉMaana ile nyingine sahv kama not richaaaaabo hiiiiiviiii ππ
Kaiba nini Kafulila mzeeShida ni mwizi sana na anaupendeleo na ni mlipa visasi.Hatufai
Mungu tu ndio anamjua Rais wa 2030Nikikumbuka Zama za kina nchimbi walipokuwa na makundi ya uraisi walichofanyiwa na mzee wa msoga sitosahau. na nukuu "Mimi nilikuwa mpole Sana sasa nawaletea mkali"
Mama Samia kwa jinsi navyomuona 2030 huenda akafanya kama ya jk 2015 maana namuona siyo muongeaji anawaangalia vijana wake utendaji wao wanayoyafanya na kujikalia kimya 20230 siyo mbali wale tunaowaona wanapambana kuwa maraisi huenda wakaja kuambulia patupu! Ccm NI dude kubwa na mwenyekiti wa chama ana manguvu Sana
Nawatakia mapumziko mema