2030 kuna uwezekano mkubwa Kafulila na Bashungwa wakapewa kijiti cha kuongoza nchi mama hatabiriki huko mbeleni

Huyo hafai hata kuwa waziri, achilia mbali urais!
Huyo kijana January makamba jina lake lina kelele hasa kule kwenye wizara ya nishati na report ya CAG ameacha majonzi makubwa wazee kwa vijana wanamwandama Sana hawataki kumsikia wizara ya nishati iliyumba hadi mama aliposema hapana nakupenda lakini hapa toka njoo huku! n.k kijana huyo wananchi hawataki kumsikia kabisa labda chawa wake Tu shida ndiyo hiyo!
Ukiachilia huyo na Yule mwenye PhD anayejidai anajuwa uchumi kauli zake watu kuhamia Burundi na mengine pia hawa wanaharufu mbaya kwa wananchi
 
Bashungwa anaweza kuwa mwadilifu ila hafai kuwa rais bora ya huyu maza mara 100, kwanza ni mwanaume asie na sauti kwa mkewe na mkewe ana asili ya Rwanda kwa karibu tegemeeni nchi kuliwa mkose hata kandambili
😹😹😹 Innocent km jina lake
Mke mwenyewe alimtongoza kwa ki-meme hotelini kwa kumpasia muhudumu
 
Mama huyu 2030 Niko hapa anajina lake mfukoni ! Hawa vijana wanaamini NI chawa wao hatokuja kuamini uatakayowakuta hawajifunzi kwa mzee wangu lowasa ( R.I.P mzee wangu) alifanyiwa na mzee wa msoga kwa kuangalia hawa wazee swala linaloitwa kiongozi wa nchi hawana urafiki hayo ndiyo yatakayotokea hata kwa mama huyu atafyeka majina mengi jogoo litakapowika mjengoni wajumbe hawatoamini macho yao.
 
Mungu tu ndio anamjua Rais wa 2030
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…