23.10.2016: Toto Africa Vs Simba S.C

23.10.2016: Toto Africa Vs Simba S.C

Hii timu iko ligi kuu kwa ajili ya kuikamia simba tu

Hawa ilikiwezekana wapigwe hata sita
 
Daah! Adui muombee njaa ila muda mwingine hapatwi na njaa inakuwa taabu sana
 
Kipindi cha pili kimeanza.
 
Dakika ya 46: Blagnon ameumia kichwani na mchezo umesimama baada ya kugongana na beki wa Toto.
 
Mnyama anazidi kutakata hapa.. Ni dk. 51.. Mavugo anaongeza la Pili.. Mpaka sasa.. Simba S.C 2-0 Totoo.
 
Toto leo hawana namna...kwa simba hii lazima ukimbie tuu
 
mnyama tandika hao watoto wa yanga wakale ugali wa muhogo mwanza
 
Back
Top Bottom