23.10.2016: Toto Africa Vs Simba S.C

23.10.2016: Toto Africa Vs Simba S.C

sembo

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
4,350
Reaction score
3,451
Leo nyasi za uwanja wa Uhuru zitawaka moto.. na hii ni pale Mnyama mkali pengine kuliko wote mwituni, Simba S.C atakapopambana na Toto Africa.

Uzuri wa gemu ya leo ni kua Simba S.C anaenda kuua wanyama wawili kwa 'windo' moja. Hii inaamaa anaenda kutafuna Baba na Mwana.. ambao ni Toto Africa na Yanga Yetu.

Rekodi za Simba S.C na huyu mtoto wa Yanga Yetu, katika VPL msimu huu.. zimeekaaje kaaje?

1. Toto Africa.
Kacheza: mechi 11.
Kashinda: mechi 2 tu.
Kagongwa: mechi 7.
Sare: mechi 2.
Kafunga Magoli: 5 tu.
Kafungwa Magoli: 11.
Nafasi katika ligi: Wa Mwisho [16]

2. Simba S.C
Kacheza: mechi 10 tu.
Kashinda: mechi 8.
Kafungwa: Hakuna [namaanisha mechi 0].
Sare: mechi 2 tu.
Kafunga Magoli: 18.
Kafungwa Magoli: 3 [kiuhalisia ni mawili tu, na hii ni baada ya kutoa goli hewa la Tambwe]
Nafasi katika ligi: Kama Kawaida [Namba 1]

.. na msimamo wa ligi mpaka sasa uko hivi.. [emoji116] [emoji116]

1477209139236.jpg


Kaa nami uweze kufahamu kila kitakachojiri katika uwanja wa Uhuru


UPDATES;
Dk 90+ 4: Refa anapuliza kipyenga cha kumaliza mpira.
Matokeo ni kua.. Simba S.C imeendelea kutakata baada ya kuwadunga 3-0 Toto African.
Wafungaji; Muzamiru Yassin [Goli 2] na Mavugoaaal
 
Mpaka sasa katika kikosi cha Simba S.C hakuna majeruhi hata mmoja.. Wanajeshi wote wako tayari kwa mapambano.

Ila kuna ingizo jipya.. Na hii ni baada ya kufanya usajili wa nguvu, ambapo kiungo wa kazi.. Mussa Ndusha kapewa ruhusa ya kuitumikia timu yake.. naimani leo atapata dk. kadhaa.
 
Mikia leo mtakalishwa huko jiji la miamba. Hilo Toto tundu atawafunga sharubu zenu kwenye miamba na kuwamwagia maji toka ziwani. Mtaloweshwa leo.
 
Leo nyasi za uwanja wa Kirumba zitawaka moto.. na hii ni pale Mnyama mkali pengine kuliko wote mwituni, Simba S.C atakapopambana na Toto Africa.

Uzuri wa gemu ya leo ni kua Simba S.C anaenda kuua wanyama wawili kwa 'windo' moja. Hii inaamaa anaenda kutafuna Baba na Mwana.. ambao ni Toto Africa na Yanga Yetu.

Rekodi za Simba S.C na huyu mtoto wa Yanga Yetu, katika VPL msimu huu.. zimeekaaje kaaje?

1. Toto Africa.
Kacheza: mechi 11.
Kashinda: mechi 2 tu.
Kagongwa: mechi 7.
Sare: mechi 2.
Kafunga Magoli: 5 tu.
Kafungwa Magoli: 11.
Nafasi katika ligi: Wa Mwisho [16]

2. Simba S.C
Kacheza: mechi 10 tu.
Kashinda: mechi 8.
Kafungwa: Hakuna [namaanisha mechi 0].
Sare: mechi 2 tu.
Kafunga Magoli: 18.
Kafungwa Magoli: 3 [kiuhalisia ni mawili tu, na hii ni baada ya kutoa goli hewa la Tambwe]
Nafasi katika ligi: Kama Kawaida [Namba 1]

.. na msimamo wa ligi mpaka sasa uko hivi.. [emoji116] [emoji116]

View attachment 422804

Kaa nami uweze kufahamu kila kitakachojiri katika dimba la Kirumba.
Weka vizur
Hii game inachezwa wapi?
 
Kwanini mpaka sasa, Juuko Murshid hapangwi katika kikiosi cha kwanza?

Omog anasema anaimani Lufunga ataendelea kufanya vizuri hata pale Jjuuko atakapokosekana katika kikosi chake [na hii ni kipindi yupo katika michuano ya Africa].
Namnukuu... "Nina wachezaji wazuri na katika kila nafasi ina watu watatu, nilitambua mapema kwamba tutakuja kumkosa Jjuuko katika baadhi ya mechi na ndiyo maana nikatengeneza kombinesheni ya mabeki wengi."
 
Mkuu.. Kipigo nachokiona tunachoenda kumpatia huyu mtoto wa Yanga Yetu.. nadhani itakua fundisho kwa timu za mikoani.
Leo mnavurugwa pale shamba la bibi
 
Mpaka sasa katika kikosi cha Simba S.C hakuna majeruhi hata mmoja.. Wanajeshi wote wako tayari kwa mapambano.

Ila kuna ingizo jipya.. Na hii ni baada ya kufanya usajili wa nguvu, ambapo kiungo wa kazi.. Mussa Ndusha kapewa ruhusa ya kuitumikia timu yake.. naimani leo atapata dk. kadhaa.

Inachezwa shamba la bibi
 
Kila ka kheri Toto Africans.
Timu yenye jina zuri linalotaja uafrika wetu.
 
Mkuu Sembo jana niliumia sana baada ya kuona timu za kanda ya ziwa kutukamia na kucheza utumbo wakikutana na vyura.Tunahaja ya kuwapiga bila huruma hawa makinda.
 
Leo nyasi za uwanja wa Uhuru zitawaka moto.. na hii ni pale Mnyama mkali pengine kuliko wote mwituni, Simba S.C atakapopambana na Toto Africa.

Uzuri wa gemu ya leo ni kua Simba S.C anaenda kuua wanyama wawili kwa 'windo' moja. Hii inaamaa anaenda kutafuna Baba na Mwana.. ambao ni Toto Africa na Yanga Yetu.

Rekodi za Simba S.C na huyu mtoto wa Yanga Yetu, katika VPL msimu huu.. zimeekaaje kaaje?

1. Toto Africa.
Kacheza
: mechi 11.
Kashinda: mechi 2 tu.
Kagongwa: mechi 7.
Sare: mechi 2.
Kafunga Magoli: 5 tu.
Kafungwa Magoli: 11.
Nafasi katika ligi: Wa Mwisho [16]

2. Simba S.C
Kacheza
: mechi 10 tu.
Kashinda: mechi 8.
Kafungwa: Hakuna [namaanisha mechi 0].
Sare: mechi 2 tu.
Kafunga Magoli: 18.
Kafungwa Magoli: 3 [kiuhalisia ni mawili tu, na hii ni baada ya kutoa goli hewa la Tambwe]
Nafasi katika ligi: Kama Kawaida [Namba 1]

.. na msimamo wa ligi mpaka sasa uko hivi.. [emoji116] [emoji116]

View attachment 422804

Kaa nami uweze kufahamu kila kitakachojiri katika uwanja wa Uhuru

Tupo pamoja mkuu. Ulete update sawia. Maombi yangu leo kwa toto africa ashinde moja bila au atoe draw. Ili christmass ikifika Yanga turudi kwenye nafasi yetu
 
Mkuu Sembo jana niliumia sana baada ya kuona timu za kanda ya ziwa kutukamia na kucheza utumbo wakikutana na vyura.Tunahaja ya kuwapiga bila huruma hawa makinda.
Mkuu taarifa za chinichini hawa wakata miwa walipokea mlungula.. Ndo mana ukaona yaliyotokea.. Nami imeniuma sana.. Ila naamini furaha yangu itarejea tena mda si mrefu.
 
Tupo pamoja mkuu. Ulete update sawia. Maombi yangu leo kwa toto africa ashinde moja bila au atoe draw. Ili christmass ikifika Yanga turudi kwenye nafasi yetu
Usihofu Mkuu.. Ila natanguliza pole zangu kwako.
 
Leo nyasi za uwanja wa Uhuru zitawaka moto.. na hii ni pale Mnyama mkali pengine kuliko wote mwituni, Simba S.C atakapopambana na Toto Africa.

Uzuri wa gemu ya leo ni kua Simba S.C anaenda kuua wanyama wawili kwa 'windo' moja. Hii inaamaa anaenda kutafuna Baba na Mwana.. ambao ni Toto Africa na Yanga Yetu.

Rekodi za Simba S.C na huyu mtoto wa Yanga Yetu, katika VPL msimu huu.. zimeekaaje kaaje?

1. Toto Africa.
Kacheza: mechi 11.
Kashinda: mechi 2 tu.
Kagongwa: mechi 7.
Sare: mechi 2.
Kafunga Magoli: 5 tu.
Kafungwa Magoli: 11.
Nafasi katika ligi: Wa Mwisho [16]

2. Simba S.C
Kacheza: mechi 10 tu.
Kashinda: mechi 8.
Kafungwa: Hakuna [namaanisha mechi 0].
Sare: mechi 2 tu.
Kafunga Magoli: 18.
Kafungwa Magoli: 3 [kiuhalisia ni mawili tu, na hii ni baada ya kutoa goli hewa la Tambwe]
Nafasi katika ligi: Kama Kawaida [Namba 1]

.. na msimamo wa ligi mpaka sasa uko hivi.. [emoji116] [emoji116]

View attachment 422804

Kaa nami uweze kufahamu kila kitakachojiri katika uwanja wa Uhuru
Mkuu Simba leo ikishinda nakata mkono wangu wa kushoto
 
Back
Top Bottom