Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
SASA TUKIWAAMBIA WALIMU KUWA WAJIONGEZA WANATUPIGA MAJUNGU
WALIMU WA KIIINGEREZA NI KICHEKESHO
WALIMU WA KIIINGEREZA NI KICHEKESHO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mwalimu anayelipwa kiasi hicho.Hivi mlishawahi kukaa na kujadiri maslahi ya hawa waalimu?
Mwalimu analipwa 300k per month jumlisha mfumuko wa bei na hali mbaya hii ya maisha mnafikiri huo umahili atautoa wapi?
Mbunge ambaye elimu yake ni darasa la saba analipwa mil 12 na posho za vikao juu, lakini mwalimu mwenye diploma analipwa 400k na mnamuandama huyu mwalimu aongeze ufanisi autoe wapi?
Unategemea mtoto kwenye foundation level (shule za msingi)
Ndio iko hivyo mwisho wa siku wanalaumiwa watoto kuwa wanafeli. Hatari sana.Na mbaya zaidi waalimu lugha ya taifa ya Kiswahili pia hawaimudu vilivyo, hivyo kufundisha kuhesabu, hisabati, kuandika maneno sanifu ya kiswahili n.k pia ni mtihani mkubwa maana lugha ya kiswahili wanayoitumia waalimu inashindwa kuleta mantiki kirahisi ktk bongo za watoto.
Hata mimi ni mwalimuMimi ni Mwalimu.
Tatizo la kiingereza ni lakitaifa ,watanzania hata baadhi ya malecturers hawapo vizuri kwenye ngeliHakika ndivyo ilivyo...
Tatizo ni mfumo mzima wa elimu yetu unaobebwa na msingi wa lugha..
Nenda shule zetu za sekondari iwe za mjini au vijijini, ambako tunaambiwa lugha ya kufundishia ni Kiingereza, lakini cha ajabu ni kuwa language competence ya walimu hawa kwa zaidi ya 90% iko below average.
Yaani kwa lugha rahisi na ya moja kwa moja ni kuwa, walimu hawa hawamudu kabisa lugha ya kiingereza kiasi cha kupewa nafasi ya kufundisha wengine na wengi wa walimu hawa eti ni university graduates..
Na maana yake ni kuwa tatizo hili lipo kuanzia huku chini kwenye grassroots (kindergarten & primary school levels) mpaka huko University level...
Na huko kindergarten & primary school level, hakuna walimu competent wa lugha ya lugha ya kiingereza...!!
UongoHuwezi ukasoma shule za Tz Hadi chuo kikuu ukaelewa kingereza kwa ufasaha , sisi baadhi yetu tulisoma Uganda ndo tumeweza kidogo kuongea kimalkia
Walimu wapo kibaoWalimu wapo kwanza?
ikilipiwa kitabadilika niniMatunda ya elimu bure
... mwalimu mmoja anafundisha utitiri wa watoto. By the way, hiyo 23% ya wanaomudu kiingereza booster ni English medium schools otherwise ingekuwa 3%!Hata waalimu watanzania 10% hawamudu lugha ya kiingereza itakua je kwa wanafunzi iwe 23% wewe pitia mashuleni usikilize kiingereza cha hao waalimu.
Waliosoma Tz miaka ya 50, 60 na robo 70 walikimudu vizuri kiingereza kabla siasa za kijinga za ujamaa hazijaingia nchini.Huwezi ukasoma shule za Tz Hadi chuo kikuu ukaelewa kingereza kwa ufasaha , sisi baadhi yetu tulisoma Uganda ndo tumeweza kidogo kuongea kimalkia
Mimi nimewahi kusikia wakiongea, kina Joyce Ndalichako, Jpm etc. Mbona kiingereza kizuri tuu? 🤣🤣🤣Umahiri wa kiingereza ni tatizo la kitaifa hata kwenye ualimu kuna nafuu sana bcoz kiingereza chao ni chakufundishia but in fluent speaking specifically kwenye maongezi ya kawaida nakubali hawako mahiri but ulishawahi kuwasikia mawaziri wetu wakiongea kiingereza tena wengine wana mpaka PhD
Serikali ibadilishe mitaala iwe ya Kiingeleza na Kiswahili....
Hili mimi nililiona mapema nikapeleka mtoto shule ambayo hataongea kiswahili mpaka likizo. Leo hii anashuka ngeli kama maji tu shwaaaa. Wakati baba yake the the the kibao. Uko sahihiAnayo point ya msingi sana, wataalamu wanasema kuna umri fulani wa mtoto ambapo ni rahisi zaidi kujifunza lugha. Kiingereza kifundishwe na wabobezi kwenye kipindi hicho (chekechea mpaka darasa la tatu)
Katika Halimashari nayofanyia kazi Zipo Primary 66, zote ni za serikali hakuna hata moja ya E.M.Hata mimi ni mwalimu
Kimsingi hili ni Tatizo la Kujitakia. Ni upumbavu na utumwa kuendelea kung'ang'ania kutumia Kigeni kutolea maarifa.Tatizo la kiingereza ni lakitaifa ,watanzania hata baadhi ya malecturers hawapo vizuri kwenye ngeli
Nakubaliana na wewe kuwa Walimu wanalipwa mshahara kidogo sana.Hivi mlishawahi kukaa na kujadiri maslahi ya hawa waalimu?
Mwalimu analipwa 300k per month jumlisha mfumuko wa bei na hali mbaya hii ya maisha mnafikiri huo umahili atautoa wapi?
Mbunge ambaye elimu yake ni darasa la saba analipwa mil 12 na posho za vikao juu, lakini mwalimu mwenye diploma analipwa 400k na mnamuandama huyu mwalimu aongeze ufanisi autoe wapi?