25/11/2023 Meli ya Israel yashambuliwa na drones za Iran

25/11/2023 Meli ya Israel yashambuliwa na drones za Iran

Houthi walishatangaza kabla kuwa meli yoyote inayojihusisha biashara na israel ikipita eneo hilo wanaiteka sasa ww aliekwambia mpk iwe meli ya serikali ya israel nani?
Mtumie akili meli ya Israel Ni ya serikali ya Israel au ya bilionea wa Israel? Mbona mnajikanyaga Sana?.
 
Back
Top Bottom