Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Nov 26, 2023 #21 Ahsante kwa taarifa...
Bwana Utam JF-Expert Member Joined Feb 15, 2016 Posts 19,559 Reaction score 36,514 Nov 26, 2023 #22 Lambardi said: Iran anachokitafuta atakipataaaa Click to expand... Pole
LINGWAMBA JF-Expert Member Joined Sep 30, 2023 Posts 484 Reaction score 1,214 Nov 26, 2023 #23 Houthi walishatangaza kabla kuwa meli yoyote inayojihusisha biashara na israel ikipita eneo hilo wanaiteka sasa ww aliekwambia mpk iwe meli ya serikali ya israel nani? Kohelethi said: Mtumie akili meli ya Israel Ni ya serikali ya Israel au ya bilionea wa Israel? Mbona mnajikanyaga Sana?. Click to expand...
Houthi walishatangaza kabla kuwa meli yoyote inayojihusisha biashara na israel ikipita eneo hilo wanaiteka sasa ww aliekwambia mpk iwe meli ya serikali ya israel nani? Kohelethi said: Mtumie akili meli ya Israel Ni ya serikali ya Israel au ya bilionea wa Israel? Mbona mnajikanyaga Sana?. Click to expand...
Kididimo JF-Expert Member Joined Sep 20, 2016 Posts 4,153 Reaction score 3,800 Nov 26, 2023 #24 HIMARS said: Houthis wana bahati wapo mbali sana toka Israel vinginevyo wangekuwa wanakipata laa sivyo Saudi aruhusu anga lake litumike Click to expand... Mbali kivipi wakati ni majirani upande wa kusini mashariko mwa Israel?
HIMARS said: Houthis wana bahati wapo mbali sana toka Israel vinginevyo wangekuwa wanakipata laa sivyo Saudi aruhusu anga lake litumike Click to expand... Mbali kivipi wakati ni majirani upande wa kusini mashariko mwa Israel?
Ritz JF-Expert Member Joined Jan 1, 2011 Posts 51,303 Reaction score 40,190 Nov 26, 2023 #25 HIMARS said: Houthis wana bahati wapo mbali sana toka Israel vinginevyo wangekuwa wanakipata laa sivyo Saudi aruhusu anga lake litumike Click to expand... Jeshi la mashoga linataka adui wa karibu😂
HIMARS said: Houthis wana bahati wapo mbali sana toka Israel vinginevyo wangekuwa wanakipata laa sivyo Saudi aruhusu anga lake litumike Click to expand... Jeshi la mashoga linataka adui wa karibu😂