Naangali hapa Mechi Live Azam Tv.
Mechi imeanza muda huu saa kumi na moja na dakika ishirini badala ya muda wake wa kawaida.
Na muda huu ndio umeme umerejeshwa.
Kwa ufupi ni kwamba wachenzaji na makocha hawakufanya warm up,wameingia moja kwa moja uwanjani.
Na pia inasemekana Waandaaji ni vimeo,usanii unaendelea kwenye Timu zetu.
Inasemekana pia Club Villa walichelewa kufika uwanjani suala jingine ilikuwa ni nauli.Yaani kuna aibu kubwa ipo chini ya Carpet.
Usanii kila sehem,we Club to hivi unategemea team ya Taifa itakuwaje?
Hizi Team nyingine ni NGOs tu